Umbea kwa mliopita shule kama mimi kwa lugha ya kisomi ni INFORMAL COMMUNICATION OR GRAPEVINE which I can describe as kind of communication which created and controlled by people as a result of secondary network of communication,which does not follow prescribed route,pia kuna aina mbali mbali za informal communication ambayo kwangu mm ni kama umbea,ya kwanza ni SINGLE STRAND(long line of people),GOSSIP WHEEL(Hii ni pale mtu anapotoa umbea ovyo yan yeye achagui wa kumpa umbea yeyote tu twende,PROBABILITY CHAIN(inatokea randomly according to people,CLUSTER CHAIN(huyu mstaarabu yaan umbea wake anachagua wa kumwambia sio mropokaji ovyo,sasa sijui kuna mtu ambaye hafany haina hiz za umbea,na kama yupo labda atakuwa ana matatizo,binadamu bila kusemwa au kumsema mtu hujakamilika kwa namna nyingine ni changamoto za maisha pia umbea it brings psychological satisfaction,japokuwa umbea pia una hasara zake kama misunderstanding,kama unatak kuwa mbea bas uwe makin maana zako zikifika utajuta,so usivamie fani,umbea ni tofaut na RUMORS,rumor ni taarifa au habar zinazotolewa au kuzungumzwa bila kuwa na ushahid(evidence),ila kwa sisi wambea taarifa na DATA zote tunakuwa nazo