Napenda sana umbea

Kaaaaaazi true true!
 

Attachments

  • 1407335322862.jpg
    17.6 KB · Views: 124

Hahahahahahahahahaha nilikuwa sijawahi isoma hii thread nimecheka mpaka nimelia, binamu balaa
 
mimi nadhani kwamba itabidi tuanze kugawa uanaume kwa makundi mawili. maana sijui kama huu ni uanaume ninaoujua mimi... hii ni modeli mpya
 
Hahahahaha nilikuwaaa sijaisoma hii thread. Binamu wewe ni mmbea kiama, na unautumikia umbea kwa hali na mali mweee
 

Hapo nakubaliana na ww wanaume ni wambea hadi unaogopa mi staff member ni wanaume wote wanapiga umbea hao hadi najiuliza wanatoaga wapi izo story hadi wazee
 
Hapo nakubaliana na ww wanaume ni wambea hadi unaogopa mi staff member ni wanaume wote wanapiga umbea hao hadi najiuliza wanatoaga wapi izo story hadi wazee

Daah yaan mie had naboreka ukichelewa kufika kazin watakujadili ukiwahi wanakujadili kwao jema Hamna afu n wanaume aaah
 
Mhhhh nimeamua niibookmark hii thread yako maana nimefurahi sana ulivojilipua ha ha ha ha.
 
Itakua una dada wengi.Ntakuja kwenu kuoa ili uwe unaenda kutoa umbea kwa wazaz wko
 

Hili somo la umbeya ni la ukweli aisee.

Heshima yako bosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…