Napenda siku moja iwe hivi...

Amyner, hiyo muachie mungu ukijua hata shemeji utaachana nae na hutakuwa na rafiki.
 
Amyner, hiyo muachie mungu ukijua hata shemeji utaachana nae na hutakuwa na rafiki.

hahahaha inatisha lakini.. Unaweza kuchanganyikiwa! Mmh but its fun mau.. It would help alot.
 

Hiyo namba 2 mbona kwenye ATM inafanyika?
 
alafu napenda siku moja mods wote watuachie madaraka ya kuwapiga ban watu flan flan hivi!!! yaani hatuangalii wewe ni mod wala nani

Ningeanza kuwapiga ban magamba wote humu jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…