babu onyango
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 378
- 984
"Mimi kama mtanzania ninatamani sana kama nchi tuwe na timu mbili katika nusu fainali ...
lakini nikikumbuka imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako basi nafunga mdomo wangu.
Lolote litakalokuwa na liwe, kilanga komo. Sisi tutapokea lolote liwe la heri kwao au la shari " - Ally kamwe
lakini nikikumbuka imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako basi nafunga mdomo wangu.
Lolote litakalokuwa na liwe, kilanga komo. Sisi tutapokea lolote liwe la heri kwao au la shari " - Ally kamwe