GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!