Napenda Utani wetu wa Simba na Yanga, ila hili la kusema kuwa akina Mzee Magoma na Wenzake wamefoji Sahihi na Nyaraka nalikataa tena kwa 100%

Napenda Utani wetu wa Simba na Yanga, ila hili la kusema kuwa akina Mzee Magoma na Wenzake wamefoji Sahihi na Nyaraka nalikataa tena kwa 100%

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!
 
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!
Huna akili, Polisi wana kitengo kinaitwa Fraud wao ndio wenye mamlaka ya kuthibitisha madai ya Yanga na wao ndio wataitwa mahakamani kutowa ushahidi baada kuzipitia hizo signature.

Usipende kukurupuka kwa vitu usivyovijuwa,
 
Huna akili, ndio maana hujui tofauti ya maternity na hospital.
Wewe ungekuwa na hiyo Akili UNGETUDANGANYA hapa JamiiForums kuwa miaka ya 70 uliyokuwepo Mkoa wa Dar es Salaam kulikuwa hakuna kabisa Hospitali ya The Agha Khan na kwamba Hospitali zilizokuwepo ni yake ya Masikini ( Makabwela ) ya Ocean Road na Muhimbili tu.

Yaani Mimi nina Wewe tu katika hili BOKO LAKO LA KARNE ulilolitoa Kwetu na hadi ukubali kuwa Wewe ni Mshamba na Juha.
 
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!
Wakati fulani uwe unakubali tu ya kwamba, wewe ni popoma.
 
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!
Chizi karogwa tena, umesharogwa tayari chizi wetu
 
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia..
Hukumu ni batili kwa mujibu wa FIFA, CAF na TFF.
Kwani mahakama ya Kisutu inahusika na maamuzi ya mpira wa miguu?
 
Mkiniambia GENTAMYCINE kuwa upande ambao mmetakiwa Kuachia Timu na ambao ndiyo mna Hela chafu na Utajiri mkubwa mmeamua kutumia Nguvu yenu ya Fedha na Propaganda kwa Kubebwa na Wakubwa walioko Serikalini na wenye Nguvu na Ushawishi kubadilisha huu Upepo na Kumsingizia Mzee Magoma na Wenzako kwa Kufoji sahihi na nyaraka kama sehemu yenu ya Kuwatisha, Kuwanyamazisha na kumaliza hili Wingu naweza Kuwaelewa ila kwa Wao kupewa hizi Shutuma nitabisha hadi Kiama. Hapa mnawasingizia.....!!
Hapo ukulizwa 5imba imecheza mechi ngapi za pre season jibu huna, ila Magoma unajua kila kitu. Mnajifariji kwa habari za Yanga, subirini ligi ianze mtaanza mara Bil 20 zipo wapi,Ngungu hana maana Yanga Yule.
 
Back
Top Bottom