the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,772
- 3,360
Wana jf habari zenu,? Leo naomba niwakumbushe l utongozaji na mawasiliano ya me na ke ktk suala la mapenzi.
1.nikirusha jiwe juu ya paa la nyumba yenu ujue ni Mimi
2.ukitumwa sokon jitahid tukutane mliman/chin ya mti.
3.me alikuwa anamnyang'anya ke kanga ili demu ajilete ghetto.
4.demu akija ghetto anapewa kwanza album na soda akiwa anasubir gemu.
5.ili kumpata demu ilikuwa unatumia gia ya kumfundisha kuendesha baiskel.
Karibuni kwa kutoa gia zingine zilizokuwa zikitumika . Asanten
1.nikirusha jiwe juu ya paa la nyumba yenu ujue ni Mimi
2.ukitumwa sokon jitahid tukutane mliman/chin ya mti.
3.me alikuwa anamnyang'anya ke kanga ili demu ajilete ghetto.
4.demu akija ghetto anapewa kwanza album na soda akiwa anasubir gemu.
5.ili kumpata demu ilikuwa unatumia gia ya kumfundisha kuendesha baiskel.
Karibuni kwa kutoa gia zingine zilizokuwa zikitumika . Asanten