Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #221
UweeeHao wanataka mashangazi TU! Hutawapata kamwe!
Uko wap?mbona mimi nipo mchawi yeye2
Dar kigamboni kisiwaniUko wap?
Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?
Wahuniiiiiiiii? Nimewaita Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu...www.jamiiforums.com
AiseeDar kigamboni kisiwani
nini
Dar kigamboni kisiwani
Hatutafuti
Atakua hana kazi na hana pesa.. ukiwa na pesa lazima uwe busy hata kama ni mwanamke
Alikua wali miaka yake ya ujana anakuja jukumbuka uzeeni.. mwanamke wa 40 ujue ni mzee.. hata mito inakaribia kukauka
Hao wanataka mashangazi TU! Hutawapata kamwe!
Bado tu unawaambia sawa, wametosha aisee
Alikua wali miaka yake ya ujana anakuja jukumbuka uzeeni.. mwanamke wa 40 ujue ni mzee.. hata mito inakaribia kukauka
Tafuta hela shangazi!! ukiwa na pesa mbona watajaa fuso zima
Hao wanataka mashangazi TU! Hutawapata kamwe!