Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
kupendana sasa kumekuwa kama kula njugu ambazo hujui zimelimwa wapi, kuvunwa wapi na zilitunzwaje...............kazi ni kutafuna tu tumbo litajijua....................lenyewe.............
Mkuu Ruta umenifurahisha mkurugenzi tumbo litajua lenyewe bila ya shaka umeiva katika nadharia ya upiganaji tehe tehe tehe tehe tehe.