Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umasikinii tuu ndio unakusumbuaMoja kwa moja kwenye Mada.
Napendekeza aina hii ya tozo kwamba kila mwenye gari alipie tsh 1,000/= kila mwezi kwa mwaka tsh 12,000/= kwa kila gari moja,
INALIPWAJE?
Ilipwe katika vituo vya mafuta, pale gari linapoenda kujaza mafuta, ikatwe hapo hapo kama vile jinsi tunavyolipia luku,
Ukitoa tsh elfu 10, ili ujaze mafuta ya kiasi hicho utapata mafuta ya tsh elfu tisa, reference ni plate namba ya gari, elfu moja itaenda kuchangia maendeleo.
Nawasilisha
Atakuwa UVCCM aliyekatwa kwenye uchaguzi wao huko,sasa analeta uchawi . wake kwa watu wenye magariOna mawazo mengine ya kichawi haya!
Tuna kila aina ya raslimali kama Taifa! Badala ya kuzitumia vizuri ili kuwanufaisha wananchi wote, viongozi wako wanazigawa tu bure au kwa kupewa 10% kwa Wazungu, Waarab, na wachina!
Halafu mwisho wa siku mnakuja kuwaumiza wananchi wa kawaida kupitia hizi tozo zenu za kipuuzi! Hovyo kabisa.
Acha shobo...we unajua huko kwenye vituo vya mafuta tunakatwa kama hatuna akili nzuri
Tujenge taifa letu mkuu,tena wewe una range kabisa elfu moja inashida ganiHuna akili.
Naona umenipa dislike za kutosha,tulipe tu mkuu tujenge nchihuyu atakuwa Mwigulu anatest mitambo asikie wananchi wanasemaje.....atukome
fikiria chanzo kingine na sio hiki cha kuibia wananchi,mmefeli kwenye tozo mnataka mfanye ujinga mwingineNaona umenipa dislike za kutosha,tulipe tu mkuu tujenge nchi