Napendekeza aina hii ya tozo kwamba kila mwenye gari alipie tsh 1,000/= kila mwezi

Umasikinii tuu ndio unakusumbua

Mkiaminishwa wenye magari ndio wenye hela.

Kama wenzako walivyoanzisha tozo za simu wakiamini watuma pesa ni wenye pesa .

Fikra za kimaskini hizo ,na hili unalisemea kwa sababu huna gari siku ukipata gari utodhubutu kilitaja na sizani kama utakuja kuwa na gari kwa akili hizi mfuu
 
Atakuwa UVCCM aliyekatwa kwenye uchaguzi wao huko,sasa analeta uchawi . wake kwa watu wenye magari

Na huko ndiko wanapojifunza huu uchawi,anashindwa kumwambia huyo Bibi apunguze matumizi kwenye Safari na misafara yake analeta wivu hapa
 
Huyo mshika pump anafaidika na nini au kuna mfumo gani unaomlamisha awe na huo uzalendo wa kuingiza plate number kwenye sytem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…