Napendekeza barabara ya Morogoro ikikamilika ipewe jina la Hayati Magufuli

Napendekeza barabara ya Morogoro ikikamilika ipewe jina la Hayati Magufuli

Sasa iitwe hiyo ya njia 8 tu au yote hadi Morogoro?

Ila dah, kubadili jina kongwe kama Morogoro Road sidhani kama ni sawa mkuu. Atafutiwe barabara nyingine mpya iitwe kwa jina lake. Kuna ile moja inaanzia karibu na Kibaha inakuja kutokea pale Vikawe (Baobab sekondari) ni mpya ile mi nashauri apewe ile 🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
Hii imewekwa lami?
 
sisi ni watanzania na wao ni wamarekani kamwe hatuwezi kuwa kama wao, labda wao ndio wanapaswa kutuiga kama wanataka.
Stendi ya Magufuli ipo along Morogoro road ambayo ndio tunapendekeza iitwe Magufuli road na hapo itakuwa imeunganishwa na barabara hiyo.
Hayati Magufuli alileta mabadiliko makubwa sana ktk sekta ya miundombinu haswa ktk mkoa wa DSM.
Hiyo ni barabara iendayo Morogoro,ndiyo sababu imeitwa hivyo (Morogoro road) ,kama mnapendekeza barabara hiyo iitwe Magufuli,basi hata mkoa wa Morogoro inabidi uitwe Magufuli,ili ijulikane kwamba Magufuli road inaelekea mkoa wa Magufuli.
 
Hoja imepita na imeungwa mkono na watu wote.
sasa imebaki taratibu na utekelezaji, ili sasa barabara ya morohoro iwe Magufuli road.
 
Kwa heshima ya Hayati JPM mashauri barabara hii iwekewe taaa za barabarani.
kujengwe vituo.
 
Back
Top Bottom