Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

We jamaa unataka wafanye Kama walivyofanya familia ya yaser Arafat kule ukingo wa magharibi ya ghaza?
 
Corona ilikuja duniani kuchukua watu maalumu.Bila corona shetani asingefungwa minyororo.
 
Vipi mjane tayari umeshakubali mpendwa wako yupo kuzimu au bado huamini?

Tunakwenda kusheherekea miaka 60 ya uhuru bila shetani.
 
Kifo Cha mwendazake liwe funzo kwa wengine kwamba ukiwa dikteta mpumbavu na mjinga zawadi yako Ni hiyo.Baada ya mwenyekwenda kuondoka wajuzi mtueleze Ni kiongozi gani wa nchi ,chama na serikali anayeshiriki sturi ya bwana kwani huko ndiko Safari ya mzee ilihitimishwa .
 
Alikuwa anaitwa nani yule,mtangazaji wa "Jahazi' aliyekuwa MC katika mazishi ya Ruge? Yule alifariki muda mfupi baada ya mazishi.
In the same way,yule mwanamke aliyekuwa anaweka mapambo katika mazishi ya Magufuli,alifariki ghafla,baada ya siku saba au kumi.
Wale madaktari wa St. Thomas walisema,"we notice the patient is going to sleep in a deep coma"
almost as if the reason why he is going into a coma is none of their business,
but only the fact that he is going onyo a coma.
 
Babu yako ulimuundia tume ya kuchunguza kifo chake?!!!
 
Iuundwe na waliouwawa wakati wa uongozi wake,wale waliokuwa waonaelea kwenye viroba-------
 
Toka hadharani udai hiyo tume mzee

Ongea na moja kwa moja na media

Utakuwa umefanya jambo la mbolea

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…