Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hapana unaulizia ndevu kwa OsamaUnauliza taa za traffic light Chato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana unaulizia ndevu kwa OsamaUnauliza taa za traffic light Chato?
Kama wewe ni MTU ASIYE JULIKANA tunaomba utwambie kama unamjua aliye mshambulia mh LissuSikuona sababu ya matusi. Sisi hatukulelewa hivyo ndugu yangu. Nawashukuru wazazi wangu na CCM pia kwa malezi mema.
Ha ha ha haUna bahati mbaya sana dogo maana kwa sasa nafasi za uteuzi tumeishiwa jaribu tena
ChademaKama wewe ni MTU ASIYE JULIKANA tunaomba utwambie kama unamjua aliye mshambulia mh Lissu
ina maana wale wanyama walichukuliwa serengeti kwenda huko wameenda wapi?Mbuga yenyewe imejaaa kunguru na fisi ni Nani atakubali kwenda kuangalia huo upuuzi?
Haya ndio maneno sasa naunga mkono hoja!Nashauri hata Bandari ya Bagamoyo ingehamishiwa Chato ili kuinua uchumi wa Kanda ya Ziwa.
Damu ya mtu ni sumu sanaWewe Bashite ndiyo ulimshambulia na Laana yake imekuganda mpaka leo licha ya kukesha kwa waganda aliokuletea Le mutuz
Nashauri tupange siku moja kila mwezi ya kumsifia, kumpamba sina simu.Naunga mkono. Tena wakifika Chato walale hotel ya Bwana mkubwa
Huko wataenda ndgu zakoKatika hali ya kumuunga mkono mh Rais na jitihada zake za maendeleo nashauri iwe ni lazima kwa wafanyakazi wa serikali angalau kwa mwaka mara moja wawe wanatembelea Burigi- Chato National Park ili kuhamasishana ktk Utalii wa ndani...
Wangekuwa hawaongezewi wanaopungukiwa damu.Damu ya mtu ni sumu sana
Naunga mkonoKatika hali ya kumuunga mkono mh Rais na jitihada zake za maendeleo nashauri iwe ni lazima kwa wafanyakazi wa Serikali angalau kwa mwaka mara moja wawe wanatembelea Burigi - Chato National Park ili kuhamasishana katika Utalii wa ndani.
Pia na shule za sekondary nazo kwa mwaka ziwe zinatembelea Chato kuangalia wanyama na shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Katika eneo hili na chimbuko la uchapaji kazi wa Rais.
Katika watalii wanaokuja Tanzania kwenye package yao Visiting Chato iwe ni Must. Hiii itakuza sana mbuga hii ya kupendeza ambayo naamini muda si mrefu itaingia kwenye maajabu 7 ya Dunia kwa kuwa mbuga inayokua kwa kasi sana Duniani.
Watanzania tujifunze kupenda vya kwetu. Pia wafanyakazi wa Serikalini wapewe mikopo ya kujenga nyumba Chato ili yale mataa yawe serious yakifanya kazi kutokana na uwepo wa watu wengi na kuongeza shughuli za kiuchumi. Na pia Ijengwe Ikulu kwa Kanda ya ziwa.
Na pia wale wanaopiga piga kelele Chato kujengeka nawauliza kwani Chato ipo nchi gani? Nashauri hata ule mradi wa Bandari ya Bagamoyo ungehamishiwa Chato ili kuinua uchumi wa Kanda ya Ziwa.
Nawasilisha.
Namba yangu ya simu 078778371
We unakula minyoo.Unaminyoo mkuu.