Napendekeza: Iwe ni lazima kutembelea Chato National Park

Tena pesa za malipo wakatwe kwenye mishahara yao, ikifika mwisho wa mwaka lazima wote waende kuangalia twiga waliopelekwa kwenye mbuga wakiwa wamevalishwa mizula.
 
Tanzania aisee Kuna watu mna mawazo , yani iwe lazima KWA pesa za mfanyakazi au KWA kulipwa na serikali
 
Katika hali ya kumuunga mkono mh Rais na jitihada zake za maendeleo nashauri iwe ni lazima kwa wafanyakazi wa serikali angalau kwa mwaka mara moja wawe wanatembelea Burigi- Chato National Park ili kuhamasishana ktk Utalii wa ndani...
Huko wataenda ndgu zako
 
Nakazia:

Ng'ara chattle ng'ara aaaa! Ng'ara magufuli ng'ara aaaa!
 
CCM hua wanaanza mambo kimasihara hivihivi kumbe wanapima upepo. Ukute mleta mada katumwa mana ccm sio wa kuwaamini kirahisi kumbuka hata mjadala wa term limit kwa rais ulianza kimasihara angalia leo ulipo...
 
Naunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…