Napendekeza Jeshi la Polisi kusukwa upya kuondoa tuhuma za mauaji zinazolikabili mara kwa mara

Napendekeza Jeshi la Polisi kusukwa upya kuondoa tuhuma za mauaji zinazolikabili mara kwa mara

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Si mara moja wala mara mbili au mara 3 ambapo jeshi la polisi limeua raia wakiwa wanashikiliwa, yaani wakiwa mikononi mwao, tena mara kadhaa raia hao wakijulikana ni raia wema. Na haya hayajaanza leo bali ni miaka mingi, na yanaendelea hadi leo.

Tuna kumbukumbu mbaya ya siku za nyuma, jeshi la polisi kufanya mauaji ya wafanyabiashara wa madini baada ya kuwapora pesa zao.

Tuna kumbukumbu mbaya ya miaka ya karibuni ya polisi kumwua mfanyabiashara kule Mtwara na kisha kumpora pesa yake.

Tuna taarifa mpya ya polisi kumwua mdogo wake Boniface.

Tuna kumbukumbu ya ushenzi wa jeshi la polisi kumwua Mwangosi akiwa anatekeleza wajibu wake halali kisheria.

Tunatakiwa tujiulize, hili kweli ni jeshi la polisi au kundi la majambazi linalofanya uovu wake kwa kutumia ofisi za Serikali?

Kama kuna majambazi yamejiingiza na kujazana ndani ya Jeshi la polisi, halafu tumeshindwa kuyatambua na kuyafukuza yakaisha, kisha jeshi la polisi likabakia kuwa kweli ni jeshi la polisi badala ya kuwa maharamia, basi ni vema tuanze kulitengeneza jeshi la polisi jipya, kisha kulifuta hili tulilo nalo.

Yaani tukishajenga jeshi jipya la Polisi, hawa wa sasa, wote wafutwe kazi na kuomba upya, huku maombi yao yakipitia assessment ya hali ya juu. La sivyo tutaendelea kushuhudia mauaji ya raia wasio na hatia yakifanywa na jeshi la polisi.

Polisi wanatakiwa kuwa kimbilio la ulinzi na siyo chanzo cha maanagamizi ya uhai wa watu wasio na hatia.

Tukatae katakata vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na polisi. Tuikatae katakata CCM inayoshindwa kuthamini uhai wa Watanzania kiasi cha kuvifanya vyombo vya dola kuwaua raia pale wanapojisikia kuufanya uovu huo.
 
TUMIA AKILI UNALISUKA KWA KATIBA IPI? ILI ULISUKE JESHI LA POLISI NA VYOMBO VINGINE LAZIMA KATIBA ISUKWE KWANZA KWANI JESHI LA POLISI LIPO KWA MUJIBU WA KATIBA
NDIO MAANA WENYE AKILI WANADAI KATIBA BORA ITAKAYOREKEBISHA YOTE HAYA
 
TUMIA AKILI UNALISUKA KWA KATIBA IPI? ILI ULISUKE JESHI LA POLISI NA VYOMBO VINGINE LAZIMA KATIBA ISUKWE KWANZA KWANI JESHI LA POLISI LIPO KWA MUJIBU WA KATIBA
NDIO MAANA WENYE AKILI WANADAI KATIBA BORA ITAKAYOREKEBISHA YOTE HAYA
Ni vema ukajifunza kutokutanguliza maneno "TUMIA AKILI"!Ungemueleza kama unamkumbusha aweke nyongeza ya madai ya katiba mpya iliyoboreshwa.Au mmezoeana sana hadi mnafokeana?
 
TUMIA AKILI UNALISUKA KWA KATIBA IPI? ILI ULISUKE JESHI LA POLISI NA VYOMBO VINGINE LAZIMA KATIBA ISUKWE KWANZA KWANI JESHI LA POLISI LIPO KWA MUJIBU WA KATIBA
NDIO MAANA WENYE AKILI WANADAI KATIBA BORA ITAKAYOREKEBISHA YOTE HAYA
Hakika, bila kupata Katiba mpya, nchi hii itaendelea kiibiwa mabilioni ya pesa ya walipa Kodi na mambo yote haya ya ovyo, yataendekea Hadi mwisho wa Dunia😎
 
Si mara moja wala mara mbili au mara 3 ambapo jeshi la polisi limeua raia wakiwa wanashikiliwa, yaani wakiwa mikononi mwao, tena mara kadhaa raia hao wakijulikana ni raia wema. Na haya hayajaanza leo bali ni miaka mingi, na yanaendelea hadi leo.

Tuna kumbukumbu mbaya ya siku za nyuma, jeshi la polisi kufanya mauaji ya wafanyabiashara wa madini baada ya kuwapora pesa zao.

Tuna kumbukumbu mbaya ya miaka ya karibuni ya polisi kumwua mfanyabiashara kule Mtwara na kisha kumpora pesa yake.

Tuna taarifa mpya ya polisi kumwua mdogo wake Boniface.

Tuna kumbukumbu ya ushenzi wa jeshi la polisi kumwua Mwangosi akiwa anatekeleza wajibu wake halali kisheria.

Tunatakiwa tujiulize, hili kweli ni jeshi la polisi au kundi la majambazi linalofanya uovu wake kwa kutumia ofisi za Serikali?

Kama kuna majambazi yamejiingiza na kujazana ndani ya Jeshi la polisi, halafu tumeshindwa kuyatambua na kuyafukuza yakaisha, kisha jeshi la polisi likabakia kuwa kweli ni jeshi la polisi badala ya kuwa maharamia, basi ni vema tuanze kulitengeneza jeshi la polisi jipya, kisha kulifuta hili tulilo nalo.

Yaani tukishajenga jeshi jipya la Polisi, hawa wa sasa, wote wafutwe kazi na kuomba upya, huku maombi yao yakipitia assessment ya hali ya juu. La sivyo tutaendelea kushuhudia mauaji ya raia wasio na hatia yakifanywa na jeshi la polisi.

Polisi wanatakiwa kuwa kimbilio la ulinzi na siyo chanzo cha maanagamizi ya uhai wa watu wasio na hatia.

Tukatae katakata vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na polisi. Tuikatae katakata CCM inayoshindwa kuthamini uhai wa Watanzania kiasi cha kuvifanya vyombo vya dola kuwaua raia pale wanapojisikia kuufanya uovu huo.
Wambura ni mhalifu namba moja TANZANIA
 
Ubaya, maovu, utekaji na mauaji ambayo yanatokea jeshi la polisi linatajwa kuhusika.
Tumeshuhudia baadhi ya nchi kuna makundi ya kiharifu ambayo yametoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama.
Na makundi hayo yalianza kufanya matukio kama utani leo yamegeuka kuwa makundi ya uharifu na yanatafutwa.
Hivyo basi yanaoendelea ndani ya jeshi la polisi ni njia ya kuelekea kufanya uasi ndani ya serikali uku pasipo serikali kujua kinachofuata.
Kuna muda huwa nsta
 
Hivyo basi yanaoendelea ndani ya jeshi la polisi ni njia ya kuelekea kufanya uasi ndani ya serikali uku pasipo serikali kujua kinachofuata.
Si kweli haya yanabaraka zake mama, mama. Acha story ndefu, huo ndio ukweli
 
Si mara moja wala mara mbili au mara 3 ambapo jeshi la polisi limeua raia wakiwa wanashikiliwa, yaani wakiwa mikononi mwao, tena mara kadhaa raia hao wakijulikana ni raia wema. Na haya hayajaanza leo bali ni miaka mingi, na yanaendelea hadi leo.

Tuna kumbukumbu mbaya ya siku za nyuma, jeshi la polisi kufanya mauaji ya wafanyabiashara wa madini baada ya kuwapora pesa zao.

Tuna kumbukumbu mbaya ya miaka ya karibuni ya polisi kumwua mfanyabiashara kule Mtwara na kisha kumpora pesa yake.

Tuna taarifa mpya ya polisi kumwua mdogo wake Boniface.

Tuna kumbukumbu ya ushenzi wa jeshi la polisi kumwua Mwangosi akiwa anatekeleza wajibu wake halali kisheria.

Tunatakiwa tujiulize, hili kweli ni jeshi la polisi au kundi la majambazi linalofanya uovu wake kwa kutumia ofisi za Serikali?

Kama kuna majambazi yamejiingiza na kujazana ndani ya Jeshi la polisi, halafu tumeshindwa kuyatambua na kuyafukuza yakaisha, kisha jeshi la polisi likabakia kuwa kweli ni jeshi la polisi badala ya kuwa maharamia, basi ni vema tuanze kulitengeneza jeshi la polisi jipya, kisha kulifuta hili tulilo nalo.

Yaani tukishajenga jeshi jipya la Polisi, hawa wa sasa, wote wafutwe kazi na kuomba upya, huku maombi yao yakipitia assessment ya hali ya juu. La sivyo tutaendelea kushuhudia mauaji ya raia wasio na hatia yakifanywa na jeshi la polisi.

Polisi wanatakiwa kuwa kimbilio la ulinzi na siyo chanzo cha maanagamizi ya uhai wa watu wasio na hatia.

Tukatae katakata vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na polisi. Tuikatae katakata CCM inayoshindwa kuthamini uhai wa Watanzania kiasi cha kuvifanya vyombo vya dola kuwaua raia pale wanapojisikia kuufanya uovu huo.
Bila katiba mpya hio sio suluhisho
 
Si mara moja wala mara mbili au mara 3 ambapo jeshi la polisi limeua raia wakiwa wanashikiliwa, yaani wakiwa mikononi mwao, tena mara kadhaa raia hao wakijulikana ni raia wema. Na haya hayajaanza leo bali ni miaka mingi, na yanaendelea hadi leo.

Tuna kumbukumbu mbaya ya siku za nyuma, jeshi la polisi kufanya mauaji ya wafanyabiashara wa madini baada ya kuwapora pesa zao.

Tuna kumbukumbu mbaya ya miaka ya karibuni ya polisi kumwua mfanyabiashara kule Mtwara na kisha kumpora pesa yake.

Tuna taarifa mpya ya polisi kumwua mdogo wake Boniface.

Tuna kumbukumbu ya ushenzi wa jeshi la polisi kumwua Mwangosi akiwa anatekeleza wajibu wake halali kisheria.

Tunatakiwa tujiulize, hili kweli ni jeshi la polisi au kundi la majambazi linalofanya uovu wake kwa kutumia ofisi za Serikali?

Kama kuna majambazi yamejiingiza na kujazana ndani ya Jeshi la polisi, halafu tumeshindwa kuyatambua na kuyafukuza yakaisha, kisha jeshi la polisi likabakia kuwa kweli ni jeshi la polisi badala ya kuwa maharamia, basi ni vema tuanze kulitengeneza jeshi la polisi jipya, kisha kulifuta hili tulilo nalo.

Yaani tukishajenga jeshi jipya la Polisi, hawa wa sasa, wote wafutwe kazi na kuomba upya, huku maombi yao yakipitia assessment ya hali ya juu. La sivyo tutaendelea kushuhudia mauaji ya raia wasio na hatia yakifanywa na jeshi la polisi.

Polisi wanatakiwa kuwa kimbilio la ulinzi na siyo chanzo cha maanagamizi ya uhai wa watu wasio na hatia.

Tukatae katakata vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na polisi. Tuikatae katakata CCM inayoshindwa kuthamini uhai wa Watanzania kiasi cha kuvifanya vyombo vya dola kuwaua raia pale wanapojisikia kuufanya uovu huo.
Naamini Polisi tunaonea tu. Hivi mbwa mwenye kichaa aking'ata mtu, lawama ni kwa mbwa au mwenye mbwa?
 
Si mara moja wala mara mbili au mara 3 ambapo jeshi la polisi limeua raia wakiwa wanashikiliwa, yaani wakiwa mikononi mwao, tena mara kadhaa raia hao wakijulikana ni raia wema. Na haya hayajaanza leo bali ni miaka mingi, na yanaendelea hadi leo.

Tuna kumbukumbu mbaya ya siku za nyuma, jeshi la polisi kufanya mauaji ya wafanyabiashara wa madini baada ya kuwapora pesa zao.

Tuna kumbukumbu mbaya ya miaka ya karibuni ya polisi kumwua mfanyabiashara kule Mtwara na kisha kumpora pesa yake.

Tuna taarifa mpya ya polisi kumwua mdogo wake Boniface.

Tuna kumbukumbu ya ushenzi wa jeshi la polisi kumwua Mwangosi akiwa anatekeleza wajibu wake halali kisheria.

Tunatakiwa tujiulize, hili kweli ni jeshi la polisi au kundi la majambazi linalofanya uovu wake kwa kutumia ofisi za Serikali?

Kama kuna majambazi yamejiingiza na kujazana ndani ya Jeshi la polisi, halafu tumeshindwa kuyatambua na kuyafukuza yakaisha, kisha jeshi la polisi likabakia kuwa kweli ni jeshi la polisi badala ya kuwa maharamia, basi ni vema tuanze kulitengeneza jeshi la polisi jipya, kisha kulifuta hili tulilo nalo.

Yaani tukishajenga jeshi jipya la Polisi, hawa wa sasa, wote wafutwe kazi na kuomba upya, huku maombi yao yakipitia assessment ya hali ya juu. La sivyo tutaendelea kushuhudia mauaji ya raia wasio na hatia yakifanywa na jeshi la polisi.

Polisi wanatakiwa kuwa kimbilio la ulinzi na siyo chanzo cha maanagamizi ya uhai wa watu wasio na hatia.

Tukatae katakata vitendo vya kiharamia vinavyofanywa na polisi. Tuikatae katakata CCM inayoshindwa kuthamini uhai wa Watanzania kiasi cha kuvifanya vyombo vya dola kuwaua raia pale wanapojisikia kuufanya uovu huo.
Inawezekana ikawa moja ya utendaji kazi bora wa jeshi letu la police ni kufanya hayo matukio
 
The police are doing their job well. If you're not a criminal, there's no reason to hate them. Those who criticize the police often have criminal tendencies and cause disturbances. They pose a threat to national security and should be held accountable.
 
Back
Top Bottom