Napendekeza Kikosi cha Simba SC dhidi ya Al Ahly FC Ijumaa kiwe hiki, wewe je, chako ni kipi?

Napendekeza Kikosi cha Simba SC dhidi ya Al Ahly FC Ijumaa kiwe hiki, wewe je, chako ni kipi?

Hapa ndio Utaprove Utoto utakaojadiliwa humu????

Inasikitisha sana.

images (1)-1.jpeg
 
Nyie watu wa mwiko nyuma huu Uzi hauwahusi kaeni kwa kitulia
GJmZuq8W8AEIX7W.jpeg
 
1. Ayub Lakred
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Che Malone Fondo
5. Henock Inonga
6. Babacar Mtu Chuma
7. Kibu Denis Kiboko ya Djigui Diarra
8. Fabrice GENTAMYCINE Ngoma
9. Saido Ntibanzokinza
10. Clatous Chama
11. Luis Jose Miquissone

Haya nawe Shuka na Chako hapa kwani Rafiki yangu Kocha Msaidizi wa Simba SC Selemami Matola siku hizi tuko nae hapa JamiiForums na ananisoma mno GENTAMYCINE kama ambavyo hata Rais Samia, Rais Mstaafu Kikwete, Balozi Mstaafu Dkt. Slaa na Mjumbe Maalum wa Tajiri Mo Dewji ndani ya Simba SC Poti wangu Crencetius Magori wanavyonisoma Kutwa hapa ili amwambie Kocha atupangie Kikosi cha Mauwaji Ijumaa.
Onana aanze
 
Kwani Katika hao nani huwa anakuchezea vizuri nyuma mpaka unafurahi bwana Gentamycine
 
Kocha alikopi na kupesti, mwisho wa siku ndio kama hivyo.
 
Back
Top Bottom