CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Hapa ndio Utaprove Utoto utakaojadiliwa humu????
Inasikitisha sana.
Inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaelekeza kuwa kuna mechi sio za kufanyia majaribioYANGA KAINGIAJE TENA HAPO, NAONA UPO NJE YA MADA
Unafiki katika kiwango cha SGRBaada ya kuifanyia promo Yanga kwa kuijadili kwa wiki kadhaa sasa! Ndiyo mnakumbuka kumbe na timu yenu ya papatu papatu nayo inacheza na Al Ahly!!
Aisee aliyewaita mbumbumbu aliwaza mbali sana. Hivi hata sijui mnacheza lini eti!!
Na huu ndio ukweli wenyeweFinalists
Mamelod vs Al ahly
OKAYNawaelekeza kuwa kuna mechi sio za kufanyia majaribio
Nakiafiki hiki kikosiLakred
Kapombe
Hussein
Che Malone
Ngoma
Kanuti
Mzamiru
Kibu
Onana
Ntibazonkiza
Chama
Onana aanze1. Ayub Lakred
2. Shomary Kapombe
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Che Malone Fondo
5. Henock Inonga
6. Babacar Mtu Chuma
7. Kibu Denis Kiboko ya Djigui Diarra
8. Fabrice GENTAMYCINE Ngoma
9. Saido Ntibanzokinza
10. Clatous Chama
11. Luis Jose Miquissone
Haya nawe Shuka na Chako hapa kwani Rafiki yangu Kocha Msaidizi wa Simba SC Selemami Matola siku hizi tuko nae hapa JamiiForums na ananisoma mno GENTAMYCINE kama ambavyo hata Rais Samia, Rais Mstaafu Kikwete, Balozi Mstaafu Dkt. Slaa na Mjumbe Maalum wa Tajiri Mo Dewji ndani ya Simba SC Poti wangu Crencetius Magori wanavyonisoma Kutwa hapa ili amwambie Kocha atupangie Kikosi cha Mauwaji Ijumaa.
💩Jumamosi asubuhi na mapema tutaanza kusoma nyuzi za Mangungu anatuhujumu,hatumtaki Mangungu,Mangungu ni Utopolo,Mangungu ni rafiki wa Hersi na Manara.