Napendekeza Kisukuma iwe lugha ya pili ya Taifa la Tanzania

Napendekeza Kisukuma iwe lugha ya pili ya Taifa la Tanzania

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
Hatitakiii
 
Nadhani serikali ya mwalimu ilisaidia kuwasambaza maeneo yasiokuwa na watu wengi au maeneo ambayo wenyeji walionekana wavivu mfano huko Mbeya, Morogoro, Lindi hata Pwani, kusudi ilikuwa ni kukuza kilimo katika maeneo husika

Me ningepigia msumari kisukuma iwe lugha rasmi ya science kilimo, hawa watu wana mengi sana kutufunza kuhusu kilimo
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
Wasukuma mmezidi kwa ukhabila.
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
Kwahiyo unataka ifundishwe mashuleni? Au?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani serikali ya mwalimu ilisaidia kuwasambaza maeneo yasiokuwa na watu wengi au maeneo ambayo wenyeji walionekana wavivu mfano huko Mbeya, Morogoro, Lindi hata Pwani, kusudi ilikuwa ni kukuza kilimo katika maeneo husika

Me ningepigia msumari kisukuma iwe lugha rasmi ya science kilimo, hawa watu wana mengi sana kutufunza kuhusu kilimo
Sana mkuu
 
Wasukuma mnaanza kuandaa mazingira ya kuchukiwa,mkumbuke kwenye biashara hampo kama wachaga na wakinga,na hata hamjasoma kama wahaya,kazi kuzaana tu. Tunawachora tu,jichanganyeni sasa muone.
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
Sukuma gang kwenye ubora wako.
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.
Nami napendekeza Mwanza iwe makao makuu ya nchi na Jiwe awe bamdogo wa taifa
 
Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili


Lugha SAIDIZI ya lugha ya kiswahili??--- kwani Kiswahili kimepungukiwa nini hadi kisukuma kitoe msaada??, si bora ungesema lugha ya kiingereza kuliko lugha ya ki sukuma!!!.

Hebu tafakari tena mkuu, kwani hata Muha, Muhaya, Mkurya nk, nao watadai kwamba lugha zao nazo ziwe saidizi kwa ki swahili kwani nao wamejaa kila mahali nchi Tz.

Wabeja.
 
Mhola sana waungwana!

Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora.

Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani.

Baadhi ya Mikoa kama Mkoa wa Morogoro Wasukuma wameongezeka kwa idadi kubwa na baadhi ya Wilaya kama Mvomero,Kilombero na Kilosa kabila hilo limeenea kwa idadi ya kuwazidi hata wenyeji.Namaanisha kwa mgeni wa maeneo yale huenda akifika kwa mara ya kwanza dhahania yake atafikiri Wasukuma ndiwo wenyeji wa maeneo yale.

Mbeya pia kwa mfano hasa hususani Wilaya ya Mbarali na Chunya vilevile Wasukuma wamejaa kuzidia hata wenyeji!

Ni wakati sasa Lugha la Kisukuma liwe ndilo Lugha rasmi SAIDIZI ya Lugha letu mama ya Kiswahili na ikizingatiwa LUGHA YA KISWAHILI IMEELEWA NA HITAJI LA KUWA LUGHA YA KIMATAIFA.

Nawasilisha.

Nhenhe NGIKA.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Nene NGIKA...[emoji3581][emoji3581][emoji3581]

Nhenhe ndiyo nini?

Unaitamkaje?
 
Back
Top Bottom