Napendekeza kituo kikuu cha Treni Mwanza kiitwe UMUGHAKA MWANZA STATION

Napendekeza kituo kikuu cha Treni Mwanza kiitwe UMUGHAKA MWANZA STATION

All in all maana ya UMUGHAKA ni mtu above 40 years, Mtu Dhaifu, Mtu legevu, Mtu asiye na uwezo wa kuzalisha, Mtu ambae amefkia hatua ya mwisho ya ukuaji, Mtu ambae ni Tegemezi, Mtu ambae hana nguvu ya kuzalisha, Mtu ambae hana haendani na usasa.

Nawasilisha. Najua wazee au waasisi wa neno jenyewe la UMGHAKA ambalo ni Neno la kikurya lenye maana ya Mtu wa Jinsia ya Kiume ambae amezeeka.
Mkuu ulisoma chuo gani?
 
All in all maana ya UMUGHAKA ni mtu above 40 years, Mtu Dhaifu, Mtu legevu, Mtu asiye na uwezo wa kuzalisha, Mtu ambae amefkia hatua ya mwisho ya ukuaji, Mtu ambae ni Tegemezi, Mtu ambae hana nguvu ya kuzalisha, Mtu ambae hana haendani na usasa.

Nawasilisha. Najua wazee au waasisi wa neno jenyewe la UMGHAKA ambalo ni Neno la kikurya lenye maana ya Mtu wa Jinsia ya Kiume ambae amezeeka.
Acha fujo basi..shida nini..umevimbewa kichuri muraaa?!!
 
Kulikuwa nachango wa aina hiyo? Mada ipo wapi?
Mkuu mbona Kuna muda niliomba michango Kwa wadau humu wakala buyu wakati Mimi huwa nawaburudisha na kuwaelimisha bure!
 
Ulitulia Kuwashwawashwa nami naona sasa Kinakuwashawashwa tena. Endelea.......!!
Duuuuu!,Mkuu una shida gani?,Mbona mimi nakuheshimu na kukupenda?,au nimefanya kosa kukutag?,Basi nisamehe mkuu sitorudia tena!
 
Back
Top Bottom