adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Kiitwe Maghayo The Mongolian Savage kuwaenzi wavuta bange.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiki mkubwa Wewe.Duuuuu!,Mkuu una shida gani?,Mbona mimi nakuheshimu na kukupenda?,au nimefanya kosa kukutag?,Basi nisamehe mkuu sitorudia tena!
Tulia weweeeKiitwe Maghayo The Mongolian Savage kuwaenzi wavuta bange.
Ni kama mimi ninavyotaka mji wa kiserikali Mtumba uache kuitwa Magufuli! Sababu zangu ni kama hizi! Na pale Dar pia stendi za Mabasi na Treni ziitwe jina la Kizaramo!Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Hili ni pendekezo Kwa viongozi wa Serikali,najua wengi wenu mko humu na mtapitia huu Uzi.
Sababu za Kituo hicho Kipya kitakachokuwa kizuri kupita maelezo kupewa jina la UMUGHAKA ni zifuatazo:-
1. UMUGHAKA ni Jasiri,hivyo kituo hicho kitakachojengwa Mwanza,kitakuwa ni Ishara ya Ujasiri ya watu kutoka Kanda ya Ziwa.
2. UMUGHAKA ni muelewa wa mambo,kituo hicho kitakuwa ni Ishara ya uelewa wa mambo mengi ya watu kutoka Kanda ya ziwa.
3. UMUGHAKA ni Jeuri,Kituo hicho kitakuwa Ishara ya ujeuri ya watu kutoka Kanda ya ziwa
4. UMUGHAKA ni shababi na rijali,Kituo hicho kitakuwa nembo ya wanaume mashababi na marijali kutoka Kanda ya ziwa
5. UMUGHAKA ni Msomi,Kituo hicho kitakuwa ni nembo ya wasomi wote kutoka Kanda ya ziwa
6. UMUGHAKA amejengeka kimisuli,Kituo hicho kitakuwa nembo ya wanaume wote kutoka Kanda ya ziwa waliojengeka kimisuli
7. UMUGHAKA hachagui kazi na ni mpambanaji,Kituo hicho kitakuwa nembo ya watu wote walio wapambanaji na wasiochagua kazi
8. UMUGHAKA ni mtembeza mianzi mzuri mno,Kituo hicho kitakuwa nembo ya wanaume wote wanatembeza mianzi ya kufa mtu Kwa wenzi wao
9. UMUGHAKA ni dereva bodaboda (Afisa ushafirishaji),Kituo hicho kitakuwa nembo ya madereva bodaboda (Afisa Ushafirishaji) nchi nzima
10. UMUGHAKA anampenda na kumuabudu Mungu aliyeziumba mbingu na nchi,Kituo hicho kitakuwa nembo ya watu wote wanaomuabudu Mungu (Allah),mtu kama Kiranga na ndugu zake tutawakaribisha Kwa mikono yote miwili kwasababu hatuta bagua mtu!
Mheshimiwa Dkt. Gwajima D nipigie chapuo huko kwenye baraza la mawaziri mama!
God bless y'all