Mkuu ulisoma chuo gani?All in all maana ya UMUGHAKA ni mtu above 40 years, Mtu Dhaifu, Mtu legevu, Mtu asiye na uwezo wa kuzalisha, Mtu ambae amefkia hatua ya mwisho ya ukuaji, Mtu ambae ni Tegemezi, Mtu ambae hana nguvu ya kuzalisha, Mtu ambae hana haendani na usasa.
Nawasilisha. Najua wazee au waasisi wa neno jenyewe la UMGHAKA ambalo ni Neno la kikurya lenye maana ya Mtu wa Jinsia ya Kiume ambae amezeeka.
Acha kabisa. JombaaMkuu ulitisha sana enzi zako za SHIRECU
Madrasa miaka 5Mkuu ulisoma chuo gani?
Madrasa miaka 5Mkuu ulisoma chuo gani?
Madrasa miaka 5Mkuu ulisoma chuo gani?
Kuna hoja ya maana kuliko hii.?!.agayaaaaaahivi watani zangu wasukuma ni lini mtapata akili hata mkaonekana mnatoaga hoja za maana?
Kulikuwa nachango wa aina hiyo? Mada ipo wapi?Hata mi nawamisi mkuu msiotaka kunichangia ninunue boda mpya!
Ole wako nikudimaaa!!Umughaka alie shikwa tako na ally mpemba .ndo shujaa sio
Acha fujo basi..shida nini..umevimbewa kichuri muraaa?!!All in all maana ya UMUGHAKA ni mtu above 40 years, Mtu Dhaifu, Mtu legevu, Mtu asiye na uwezo wa kuzalisha, Mtu ambae amefkia hatua ya mwisho ya ukuaji, Mtu ambae ni Tegemezi, Mtu ambae hana nguvu ya kuzalisha, Mtu ambae hana haendani na usasa.
Nawasilisha. Najua wazee au waasisi wa neno jenyewe la UMGHAKA ambalo ni Neno la kikurya lenye maana ya Mtu wa Jinsia ya Kiume ambae amezeeka.
Ulitulia Kuwashwawashwa nami naona sasa Kinakuwashawashwa tena. Endelea.......!!Bado sijajua mkuu labda tumuulize ndugu yetu aliyeko kwenye kitengo GENTAMYCINE atusaidie !