Napendekeza kufutwa kwa somo la ‘Slavery’ kwenye mitaala ya ufundishaji historia nchini

Napendekeza kufutwa kwa somo la ‘Slavery’ kwenye mitaala ya ufundishaji historia nchini

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Pendekezo hilo nalitoa kwa sababu kuu tatu.

1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.

2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!

3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji
 
Pendekezo hilo nalitoa kwa sababu kuu tatu.

1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.

2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!

3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji
HII MITAALA TUMEPIGWA
 
Muafrika hakua na hakumtambua mungu hadi wageni walipokuja.............bulushit......historia yetu kabla ya hawa wageni kuja ni kama hakuna kitu tunachoambiwa ni kama maisha yetu yalianza walipoanza kuja hawa wageni
 
Muafrika hakua na hakumtambua mungu hadi wageni walipokuja.............bulushit......historia yetu kabla ya hawa wageni kuja ni kama hakuna kitu tunachoambiwa ni kama maisha yetu yalianza walipoanza kuja hawa wageni
MFANO UNAAMBIWA ETI FLANI BIN FLAN ALIGUNDUA MLIMA KILIMANJARO... SASA NAJIULIZA KABLA YA HAPO WANANCHI WENYEJI HAWAKUWEPO?
 
Picha gani tena zikionesha kuwa mafarao walikuwa ni weusi. Maana mpaka sasa akina Salah au watu weupe Misri ndio wengi. Hao weusi walipotelea wapi? Au Karolite?
 
MFANO UNAAMBIWA ETI FLANI BIN FLAN ALIGUNDUA MLIMA KILIMANJARO... SASA NAJIULIZA KABLA YA HAPO WANANCHI WENYEJI HAWAKUWEPO?
Yalikuwa mapoli matupu watu wengi waliishi katikati mijini zamani na ndio maana hata miamba yote wagunduzi ndio hao wazungu coz wenzetu wanavyofanya utalii nyie mnawaza kutiana tu, muwe mnatalii mnaweza kugundua vyenu pia😀😀😀😀
 
Pendekezo hilo nalitoa kwa sababu kuu tatu.

1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.

2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!

3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji
Slavery Jn topic kwenye somo la History
 
@ chokodari, Mzingo
Jishughulishe kujifunza historia ya kweli. Unkijua ulipotokea ni rahisi, kujua ulipo na unapoenda.

Kama binadamu wa kwanza, chuma, moto uligundiluliwa Afrika miaka kibao kabla ya kuhamia mabara mengine uhafikiri waligundua nini? Waliishije?
 
... waafrika sio jamii ya kwanza kutawaliwa au kufanywa watumwa! Utumwa umekuwepo duniani toka enzi za kale sana sehemu mbalimbali duniani hata vitabu vitakatifu vimezungumzia sana utumwa tena huko huko kwa weupe.

... kwa fikra zako, wewe ni sehemu ya tatizo; "kujisikia vibaya" kwamba babu zetu walichukuliwa utumwani na kupgwa bei inakufanya ujisikie inferior mbele ya weupe. Kwa jamii zinazojitambua zimechukulia mababu zao kuchukuliwa utumwani in a positive way, iliwatia hasira wakaamua "kufanya kitu" kwanza kuwalipia kisasi mababu zao na pili kukomesha fikra kama hizo miongoni mwa jamii zao.

... na sisi kwa kutambua mababu zetu walidhalilishwa sana, hatuna budi kufanya jambo kuwalipia kisasi. Pili, jambo hilo tutakalofanya lituondolee udhalili tulio nao. Tatizo nani atuongoze kufanya jambo? Tuko tayari kufanya jambo? Tatizo liko hapo na sio "somo la utumwa" kama unavyodai.
 
MFANO UNAAMBIWA ETI FLANI BIN FLAN ALIGUNDUA MLIMA KILIMANJARO... SASA NAJIULIZA KABLA YA HAPO WANANCHI WENYEJI HAWAKUWEPO?
Na mtu mwenye akili timamu kabisa anafundisha watoto eti nani sijui aligundia ziwa Victoria, bila aibu! Historia gani hii tunalisha watoto wetu, hao wasukuma waliokuwa wanaishi hapo si watu, hawakugundua hilo ziwa?!!!
 
Picha gani tena zikionesha kuwa mafarao walikuwa ni weusi. Maana mpaka sasa akina Salah au watu weupe Misri ndio wengi. Hao weusi walipotelea wapi? Au Karolite?
Kwamba Marekani kuna watu weupe inamaanisha wao ndio walikuwa hapo toka awali? Kisa Red indians hawaonekami tena basi inamaana hawakuwepo? Tafuta ukweli ndugu yangu, based on evidence, na sio story za kutunga
 
Tz hakuna somo la Slavery
Nenda karudie mitihani ya Form IV inaonekana ulipata Zero uelewa wako sifuri
Somo limetokana na neno kusoma, kama unawapa watoto vitabu vinyoelezea ‘Slavery’ na wakavisoma, basi hilo ni somo, legeza ubongo kenge mlegevu wewe
 
Historia km hio kamwe isifutwe.

Wazungu kizazi hadi kizazi kila wakisoma hivyo hujiona wametukosea sana na hata Mungu pia. Hivyo hujawa huruma sana na upendo mkubwa kwetu. Ndio maana wanatupigania kila sehemu Duniani.

Usisahau kuwa Mzungu mwenyewe ndio aliyekomesha utumwa na sio mwafrika. Remember this!

Cha kufanyika ni hiki. TUJENGE UWEZO WETU WA KI UCHUMI NA KISAYANSI ILI TUSISHOBOKE NA VYA KWAO. Thats the very permanent solution maana umaskini wetu unatufanya tuendelee kuwashobokea japo tumetendwa mno.

Kingine kikubwa usidhani hayo matukio ni bahati mbaya.....God is watching ili achukue utukufu wake. Yaani Mungu atawaambia kwa miaka na miaka nimewapa nguvu na mamlaka mkanilipa haya kwa kuwafanya binadamu wenzenu km bidhaa....then wazungu wananyang'anywa hizo nguvu na mamlaka.
Wewe umechanganyikiwa, kama ni ili wao watuonee huruma, then fine, wafundishane wenyewe kwa wenyewe hukoooooooo..., huku kwetu hakuna kufundisha mtoto huo utopolo, unatunyongesha sana kifikra, Frankly, hakuna wa kukuonea huruma, wali-replace ‘Slavery’ wakaleta ‘Colonialism’, na sasa ‘capitalism’, yote ni unyonywaji mtupu!!!! WaAfrika tusitafute kuonewa huruma, maana hakuna wa kutuhurumi, tujinasue wenyewe Kifikra!!, Futa hilo somo!!!!
 
Pendekezo hilo nalitoa kwa sababu kuu tatu.

1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.

2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!

3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji

History yetu inabidi ifundishwe kutujenga, kuwajenga watoto wetu.

Mfano ukiwa unamwambia mtoto wako wewe ni mpuuzi kila siku, umetoka familia za watumwa vizazi na vizazi usishangae akiwa na akili za kitumwa.

Itakuwa tofauti sana na akili ya watoto walioaminishwa nyie ni watoto wa Wafalme, watemi, huwa wanajitambua.
 
Back
Top Bottom