FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Pendekezo hilo nalitoa kwa sababu kuu tatu.
1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.
2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!
3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji
1.) Kitendo tu cha mimi kujua kwamba mzungu aliweza kuwakamata mababu zangu na kuwauza kama mbuzi kilinifanya nijione binadamu wa daraja la pili hapa duniani, inauma sana ila ukweli ndio huo; kwamba mzungu ni daraja la kwanza, ila sisi daraja la pili kama si la mwisho, naapa, kama nisingefundishwa haya, nisingeweza kupata mawazo hayo kamwe! Japo sasa nimekua na sina hata mawazo hayo, ila chini kwa chini kuna kitu nimeshaharibiwa na somo hilo.
2.) Si kila ukweli katika historia wenzetu huwafundisha watoto wao, huwa wanachagua, ikiwezekana hata kuedit historia ili kuwalinda kisaikolojia. Mfano wale Archeologists wa Kizungu walipogundua kwamba Mapharaoh wa Misri walikuwa ni watu weusi, na waliweza kuwafanya watumwa watu weupe (wayahudi) , walibadilisha na kupindisha ukweli, hata movie zao, mapharaoh wote wanaonyeshwa kwamba ni weupe, wakati michoro yote kwenye kuta za pyramid zimaonyesha vinginevyo..., mifano ni mingi mno!
3.) Hii ya sababu ya tatu ndio inaniumiza sana, sitaki hata kuitaja.., au basi siitaji