FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
==========================
View: https://youtu.be/3DfGfrUAbyo?si=1EIfC2Nmk0QClGDP
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
==========================
View: https://youtu.be/3DfGfrUAbyo?si=1EIfC2Nmk0QClGDP