Napendekeza kuondolewa sifuri mbili kwenye sarafu na noti zote za Tanganyika

Napendekeza kuondolewa sifuri mbili kwenye sarafu na noti zote za Tanganyika

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.

==========================


View: https://youtu.be/3DfGfrUAbyo?si=1EIfC2Nmk0QClGDP
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa. Umakuta mti
download (2).jpeg
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa. Umakuta mti
Tulikuwa huko kabla haujazaliwa, wajomba zako waliposhindwa kukuza uchumi ilibidi tuongeze sifuri mbili ikiwa ni ishara ya vipindi vyao viwiliviwili.
 
Wazo zuri kabisa, na wenzetu Zambia walifanikiwa. Kumbuka Zambia Ulifika wakati kwacha 1000, haizidi thamani ya Shilling 1 ya Tanzania. Wakaona isiwe tabu, bora nusu hasara.

Ila wazolako litapata wapinzani wengi maana unataka kumpunguza idadi ya mamilionea.
 
Naunga mkono hoja hii,yes tuige mfano wa Zambia,na sasa unahitaji kuwa na 104ths=1ZWK,na Botswana 1P=186 ths,ni craze,yaani utawala wangu wa 24 hrs nitafutilia mbali uchafu huu tuliokua nao na nita ipeg ths yetu kwa Pula kwa muda wa 12 mths,na baada ya hapo noti ya juu kabisa ni 100
 
Back
Top Bottom