Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanganyika mko wangap 🐒Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Zanzibar watalia sana na kukuchapa hadharani.Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Napendekeza hili pia, inachosha balaa kuhesabu pesa, unahesabu pesa nyingiii ila zina thamani ndogoNchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Maduka mengine ya Mangi yana lipa namba ujueHayo mabegi ya pesa ya wapi mkuu. Siku hizi digital transaction ina take over. Hatutembei na hela, labda kwenda kwenye maduka ya Mangi tu kununua viberiti na sukari.
Sasa Milioni Kumi ndogo mkuu..!Naunga mkono hoja ,una kuta mtu anafurushi la wekundu kumbe ni mil 10 tu.View attachment 2949979
Zanzibar nao watatuiga... Hukumbuki walikuwa na elimu ya primary inayoishia darasa la sita wakaamua kubadili iendane na siye kuishia la sita. Sasa na sisi tumebadili kuwa darasa la sita. Sasa sijui itakuwajeNchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Pesa zinakua fukushi kubwa ,sijaongelea ni ndogo au nyingi.Sasa Milioni Kumi ndogo mkuu..!
Acha wenge.
Sio nguo hizo hata utembee nazo mkuu..Pesa zinakua fukushi kubwa ,sijaongelea ni ndogo au nyingi.
Ngoja ncheke....saiv tu nikidondosha jero natamani kupiga yowe siku nzima, afu ndo nna noti kumi tu eti milioni...nikidondosha moja tu kwisha habari.....🍸🍸🍸
Kwel master 🙌Sio nguo hizo hata utembee nazo mkuu..
Zambia walifaulu kwa hili, Mwigulu aombe kibali kwa Rais,na Bunge, lakini kwanza tuone faida zake ni zipi?,baada ya kufahamu faida zake, endapo, kama kuna umuhimu sana, watumwe wachumi wakajifunze hili Zambia.Huu mfumo serikali ya zambia ndio waliutumia kwenye hela yao.
Uchakavu utapungua kwenye Mashine za kuhesabu pesaZambia walifaulu kwa hili, Mwigulu aombe kibali kwa Rais,na Bunge, lakini kwanza tuone faida zake ni zipi?,baada ya kufahamu faida zake, endapo, kama kuna umuhimu sana, watumwe wachumi wakajifunze hili Zambia.
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-
1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=
Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.
Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
==========================
View: https://youtu.be/3DfGfrUAbyo?si=1EIfC2Nmk0QClGDP
Walifanikiwa pia hata msumbiji walitumia mbinu hii ila nenda mpakani mwa nchi hizo, wananchi wake hawataki kutumia hizo hela ingawa zinaonekana zina thamani kubwa ila uwezo wa kununua ni mdogo kwenye manunuzi.Aisee, walifanikiwa?
Kuna tatizo gani ukalipwa buku yenye uwezo wa kununua bidhaa zenye thamani ile ile ya laki moja? Maana mwenue laki moja benki akiangalii salio atakuta sifuri mbili hakuna, lakini nguvyu ya pesa yake ni ile ile sawa na laki.Suala la valuation itakuwaje mkuu?
Maana yangu ni kwamba mi nilinunua kwa laki ama nina amana yangu ya laki sehemu, kwa hiyo leo nilipwe buku, itamake sense kweli?
Emb naomba uniweke sawa.