Napendekeza kuondolewa sifuri mbili kwenye sarafu na noti zote za Tanganyika

Napendekeza kuondolewa sifuri mbili kwenye sarafu na noti zote za Tanganyika

Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
watanganyika mko wangap 🐒

kwa waTz hakuna haja na mapendekezo ya watanganyika 🐒
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Zanzibar watalia sana na kukuchapa hadharani.
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Napendekeza hili pia, inachosha balaa kuhesabu pesa, unahesabu pesa nyingiii ila zina thamani ndogo
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.
Zanzibar nao watatuiga... Hukumbuki walikuwa na elimu ya primary inayoishia darasa la sita wakaamua kubadili iendane na siye kuishia la sita. Sasa na sisi tumebadili kuwa darasa la sita. Sasa sijui itakuwaje
 
Mkuu hata namba zote zingetolewa hakuna kitakacho badilika ndani ya nchi hii matizo la nchi hii sio masufuri kwenye noti bali ni ufisadi ulio kithiri unao lelewa na kufungwa na ccm.
 
Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote.
Kwa mantiki hiyo:-

1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/=
2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/=
3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/=
4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/=
5.) Tsh. 2,000/= itakuwa Tsh. 20/=
6.) Tsh. 5,000/= itakuwa Tsh. 50/=
7.) Tsh. 10,000/= itakuwa Tsh. 100/=

Halafu sasa, ichapishwe noti ya 1,000/= ambayo ndio sawa na laki 1. Kwahiyo ukiwa nazo 10 tu ni milioni tayari, ukiwa nazo mia ambazo ndio ujazo wa kibunda cha milioni moja ya sasa, ni milioni 10 tayari. Kwahiyo mtu ukiwa na vibumda vyako viwili tu, unaweza kuweka mfukoni ukaenda kununua Harrier used kwa mtu.

Hii itasaidia kupunguza uzito wa mabegi ya pesa.

==========================


View: https://youtu.be/3DfGfrUAbyo?si=1EIfC2Nmk0QClGDP

Suala la valuation itakuwaje mkuu?

Maana yangu ni kwamba mi nilinunua kwa laki ama nina amana yangu ya laki sehemu, kwa hiyo leo nilipwe buku, itamake sense kweli?

Emb naomba uniweke sawa.
 
W
Aisee, walifanikiwa?
Walifanikiwa pia hata msumbiji walitumia mbinu hii ila nenda mpakani mwa nchi hizo, wananchi wake hawataki kutumia hizo hela ingawa zinaonekana zina thamani kubwa ila uwezo wa kununua ni mdogo kwenye manunuzi.
Wachumi wanaweza elezea vizuri.
NB; Kumbuka hata mishahara kwa wanao pata itapunguzwa hizo sifuri mbili mfano unapata 1,800,000 utapata 180,000
 
Suala la valuation itakuwaje mkuu?

Maana yangu ni kwamba mi nilinunua kwa laki ama nina amana yangu ya laki sehemu, kwa hiyo leo nilipwe buku, itamake sense kweli?

Emb naomba uniweke sawa.
Kuna tatizo gani ukalipwa buku yenye uwezo wa kununua bidhaa zenye thamani ile ile ya laki moja? Maana mwenue laki moja benki akiangalii salio atakuta sifuri mbili hakuna, lakini nguvyu ya pesa yake ni ile ile sawa na laki.
 
Back
Top Bottom