Napendekeza kutungwe Sheria Kali ya Kunyongwa hadharani Viongozi Waandamizi Wanaowadanganya wazi wazi Watanzania

Napendekeza kutungwe Sheria Kali ya Kunyongwa hadharani Viongozi Waandamizi Wanaowadanganya wazi wazi Watanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa mfano kukitokea Kiongozi Mwandamizi yoyote akatudanganya Watanzania Kimakusudi kuwa Kiongozi fulani Hajafa au Haumwi na mzima wa Afya anaendelea na Majukumu yake Ofisini huyu GENTAMYCINE sipendekezi tu aishiye Kunyongwa hadharani bali kama ni Mwanaume basi Ahasiwe kabisa na akiwa ni Mwanamke basi kabla ya Kunyongwa tuitwe Wapenda Kokwa Tukuka tulile Kwanza ndipo Unyongaji ufuate.

Tumechoka Kudanganywa hovyo!!!!!
 
Kwa mfano kukitokea Kiongozi Mwandamizi yoyote akatudanganya Watanzania Kimakusudi kuwa Kiongozi fulani Hajafa au Haumwi na mzima wa Afya anaendelea na Majukumu yake Ofisini huyu GENTAMYCINE sipendekezi tu aishiye Kunyongwa hadharani bali kama ni Mwanaume basi Ahasiwe kabisa na akiwa ni Mwanamke basi kabla ya Kunyongwa tuitwe Wapenda Kokwa Tukuka tulile Kwanza ndipo Unyongaji ufuate.

Tumechoka Kudanganywa hovyo!!!!!
Popoma mbona unaleta story harakaharaka kama unaoga nje?.Tuambie nini kimetokea?
 
Kwa mfano kukitokea Kiongozi Mwandamizi yoyote akatudanganya Watanzania Kimakusudi kuwa Kiongozi fulani Hajafa au Haumwi na mzima wa Afya anaendelea na Majukumu yake Ofisini huyu GENTAMYCINE sipendekezi tu aishiye Kunyongwa hadharani bali kama ni Mwanaume basi Ahasiwe kabisa na akiwa ni Mwanamke basi kabla ya Kunyongwa tuitwe Wapenda Kokwa Tukuka tulile Kwanza ndipo Unyongaji ufuate.

Tumechoka Kudanganywa hovyo!!!!!
Kwamba viongozi wa Afrika wajitungie sheria ambayo wanajua itawanyoa wenyewe?
 
Kwa mfano kukitokea Kiongozi Mwandamizi yoyote akatudanganya Watanzania Kimakusudi kuwa Kiongozi fulani Hajafa au Haumwi na mzima wa Afya anaendelea na Majukumu yake Ofisini huyu GENTAMYCINE sipendekezi tu aishiye Kunyongwa hadharani bali kama ni Mwanaume basi Ahasiwe kabisa na akiwa ni Mwanamke basi kabla ya Kunyongwa tuitwe Wapenda Kokwa Tukuka tulile Kwanza ndipo Unyongaji ufuate.

Tumechoka Kudanganywa hovyo!!!!!
Nashangaa kwanini bado uko uraiani, ulitakiwa uwe Mirembe.
 
Kwa mfano kukitokea Kiongozi Mwandamizi yoyote akatudanganya Watanzania Kimakusudi kuwa Kiongozi fulani Hajafa au Haumwi na mzima wa Afya anaendelea na Majukumu yake Ofisini huyu GENTAMYCINE sipendekezi tu aishiye Kunyongwa hadharani bali kama ni Mwanaume basi Ahasiwe kabisa na akiwa ni Mwanamke basi kabla ya Kunyongwa tuitwe Wapenda Kokwa Tukuka tulile Kwanza ndipo Unyongaji ufuate.

Tumechoka Kudanganywa hovyo!!!!!
Unaweza ukakuta hamna atakae pona je tutaendelea kuitejeleza au tutaibadilisha🤣
 
🤔🤔🤔 mkuu naomba niyawazayo yasiwe kweli.

KARNE hii,CCM haitufai hakika nawaambia.
Wana kamwamvuli kakusema chama Cha ukombozi.Shenzi type.
Je viongozi Hawa huoni wananyayo za kina Kagame,M7😠😠😠.Afu bado tunawashangilia kwa kuangalia maslahi ya Leo yetu na si keshokutwa.
Tuna viongozi wengi WA HOVYO HOVYO,kwa hisani ya IPYANA CLASSC RIPORTER WA MCHONGO.
 
Watanzania ni mapopoma sana kitu cha kawaida sana mtu anaanzisha nyuzi zaidi ya saba imebadilisha mifumo ya bima kwa wananchi ni mfumo wa awali ulikua ndio afordable zaidi jitu limekaa kimya yani sasa sishangai watu kuliita PoPoMa [emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom