Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Nafasi ya 'katibu mkuu' yaani Afisa mtendaji mkuu (CEO) wa Simba kwa sasa iko wazi mara baada ya aliyekuwepo awali kujiuzuru ghafla.
Huu ndio wakati muafaka wa Simba sc kumpa hiyo nafasi Paul Makonda ambaye kwa sasa hana kazi rasmi mara baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar.
Kwa kifupi sana, Paul Makonda anazo sifa kadhaa ambazo huenda zikawa zinakidhi kuweza kupewa hiyo nafasi, ukizingatia ni mpenzi mkubwa wa Simba, msomi wa chuo kikuu (hata kama cheti chake cha kidato cha nne kina utata mkubwa sana, na uwezo wake chuoni unadaiwa ulikuwa chini), mbunifu na mwenye uthubutu.
Yote kwa yote huenda kwa sasa Makonda ameweza kujifunza namna ya kuongoza watu na kuheshimu watu wengine, baada ya kuonyeshwa cha mtema kuni na wajumbe wa CCM Kigamboni.
Huu ndio wakati muafaka wa Simba sc kumpa hiyo nafasi Paul Makonda ambaye kwa sasa hana kazi rasmi mara baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar.
Kwa kifupi sana, Paul Makonda anazo sifa kadhaa ambazo huenda zikawa zinakidhi kuweza kupewa hiyo nafasi, ukizingatia ni mpenzi mkubwa wa Simba, msomi wa chuo kikuu (hata kama cheti chake cha kidato cha nne kina utata mkubwa sana, na uwezo wake chuoni unadaiwa ulikuwa chini), mbunifu na mwenye uthubutu.
Yote kwa yote huenda kwa sasa Makonda ameweza kujifunza namna ya kuongoza watu na kuheshimu watu wengine, baada ya kuonyeshwa cha mtema kuni na wajumbe wa CCM Kigamboni.