FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Kwakweli hii itakuwa msaada mkubwa sanainapendeza itapunguza makelele kwa wapangaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli hii itakuwa msaada mkubwa sanainapendeza itapunguza makelele kwa wapangaji
Iringa ni pazur na nimerud hiv juz kuwaona wazee baada ya miaka mingi pamebadilika sana.
Hasa maeneo ya municipal council.
Hali ya hewa iko safi sana..barabara safi movements hukwami...
Kwakifup pako vizur sema tu wengine maisha yametufanya tuishi mbali.
Niko mitaa ya uhindini hapa maeneo ya exim bank.
Karib sana
Mi naona ungeanzishia uzi, maana huyo mbwa sio poaView attachment 2214677
Kihesa hakubadiliki tu kuko vilevile.
Kuna ka bar kanaitwa Essence nilifika wiki iliyopita nimezurura sio kidogo.
View attachment 2214679
Mashine tatu right?
View attachment 2214680hii tabia muache ndio tutahamia huko
Ni kweli, unalipia ndio unatumia, no compainsinapendeza itapunguza makelele kwa wapangaji
Hizi mita zipo tayari ila bado hajizaanzwa kifungwa, niliziona kwenye maonyesho ya madini Shinyanga.
Mbona zipo kitambo tu mkuu! Mwaka 2018 Kuna kampuni ilikuwa inafanya ufungaji wa hizo mita kwa majaribio katika miji ya iringa, morogoro na Arusha. Na zilifanya vema kabisa.Mamlaka za maji zinatumia gharama kubwa sana kukusanya biki za maji toka kwa wateja wa maji ambao hawalipii hadi wakatiwe.
Hapa naona Dawa ni ‘Lipia maji kadri unavyotumia’. Zifungwe meter za kielectronic ambazo zitakuwa zinatumia umeme kujiendesha, na kwa sehemu ambazo hazina umeme, nasi meter iambatane na kisolar panel kidogo cha kuchaji betri itakayokuwa ndani kwa ndani.
Kazi ya mamlaka za maji itakuwa ni kuzikagua mara moja moja kwa kushtukiza iki kubaini zile meter ambazo zimechezewa.
Nakaribisha maoni
Mita zinatumia umeme gani, I am curiousInaanza karibuni upande wa Madale mradi wa hivyo
🤣🤣🤣🤣poleni mwaka wa tano hamuikopi serikali ila yenyewe inakopa nguvu kazi yako?Kwetu washazifunga mwaka wa 5 huu.
Ila mbona mi sikuwahi kuziona? Ni wapi huko?🤣🤣🤣🤣poleni mwaka wa tano hamuikopi serikali ila yenyewe inakopa nguvu kazi yako?
zipo tayari mitaa ya lubaga kuna baadhi ya nyumba zimewekewa.Hizi mita zipo tayari ila bado hajizaanzwa kifungwa, niliziona kwenye maonyesho ya madini Shinyanga.
Mbwa anaogopa binadamu wa IringaMi naona ungeanzishia uzi, maana huyo mbwa sio poa
Zipo ila kwa sasa zipo kwa taasisi tu.Mamlaka za maji zinatumia gharama kubwa sana kukusanya biki za maji toka kwa wateja wa maji ambao hawalipii hadi wakatiwe.
Hapa naona Dawa ni ‘Lipia maji kadri unavyotumia’. Zifungwe meter za kielectronic ambazo zitakuwa zinatumia umeme kujiendesha, na kwa sehemu ambazo hazina umeme, nasi meter iambatane na kisolar panel kidogo cha kuchaji betri itakayokuwa ndani kwa ndani.
Kazi ya mamlaka za maji itakuwa ni kuzikagua mara moja moja kwa kushtukiza iki kubaini zile meter ambazo zimechezewa.
Nakaribisha maoni
ACHA UONGO....MZANDIKI WEWE......Hawa jamaa wanapenda sana urasimu kama zipo kwanii wasifunge,maana sasa hv wakikukatia maji kurudisha lazima uwape na rushwa.
wanasema IringaIla mbona mi sikuwahi kuziona? Ni wapi huko?