Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Kwaio umeme ukikatika maji yanakua hayatoki nayo?Iringa long time kitambo..maza nyumban ndio maisha anaish..anajipimia maji kama umeme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaio umeme ukikatika maji yanakua hayatoki nayo?Iringa long time kitambo..maza nyumban ndio maisha anaish..anajipimia maji kama umeme
Usinifanye unapendekeza wakati mamlaka ilikwisha amua kubadilisha mita.Mamlaka za maji zinatumia gharama kubwa sana kukusanya biki za maji toka kwa wateja wa maji ambao hawalipii hadi wakatiwe.
Hapa naona Dawa ni ‘Lipia maji kadri unavyotumia’. Zifungwe meter za kielectronic ambazo zitakuwa zinatumia umeme kujiendesha, na kwa sehemu ambazo hazina umeme, nasi meter iambatane na kisolar panel kidogo cha kuchaji betri itakayokuwa ndani kwa ndani.
Kazi ya mamlaka za maji itakuwa ni kuzikagua mara moja moja kwa kushtukiza iki kubaini zile meter ambazo zimechezewa.
Nakaribisha maoni
Mimi sikuwahi kuziona hizo meter wala kusikia kama zipo au zimeanza kufungwa, ndio maana nikasema napendekeza..Usinifanye unapendekeza wakati mamlaka ilikwisha amua kubadilisha mita.
Ninatabiri utaandika Post kuhusu mita za maji.
Ninalazimika kukuamini, ila.Mimi sikuwahi kuziona hizo meter wala kusikia kama zipo au zimeanza kufungwa, ndio maana nikasema napendekeza..
Hapa mkuu umeongea kisiasa sanaHao watapangiwa majukumu mengine
Kuna uhaba wa watendaji wa kuja kukata maji, hivyo hizi smart meter zitasaidia sanaHivi inakuaje,mimi niliungiwa meter toka mwaka,ila hawajawahi kunitembelea kabisa..yani sijawahi kulipa bill,kwamba mda bado au wao wenyewe kuna makosa?
Bora ziwekwe hizo,itasaidia sana kiukweli.Kuna uhaba wa watendaji wa kuja kukata maji, hivyo hizi smart meter zitasaidia sana
Yanatoka fresh tuuKwaio umeme ukikatika maji yanakua hayatoki nayo?
Mkuu issue inakuja pale watakapo kutembelea na kugundua kwamba kuna deni la kiasi fulani..unaweza pewa invoice ya 1,000,000 shughuli inaanzia hapoHivi inakuaje,mimi niliungiwa meter toka mwaka,ila hawajawahi kunitembelea kabisa..yani sijawahi kulipa bill,kwamba mda bado au wao wenyewe kuna makosa?
swahilitimes.co.tz
Safi sanaE-water prepaid system DPView attachment 2216677View attachment 2216678