Napendekeza mfumo wa ‘Bluetooth GPS Parking System’ katika kukusanya ada za maegesho ya magari Dar es salaam

Napendekeza mfumo wa ‘Bluetooth GPS Parking System’ katika kukusanya ada za maegesho ya magari Dar es salaam

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kwa kupitia mfumo huu, ada za magari zitakuwa ‘charged automatically’ bila kuwa na wafanyakazi wanaotembea na vimashine vya EFD kuoiga oicha magari, how?

Ni kwamba zile sehemu zote za parking za kulipia, zitafungiwa ‘Sensor’ za ‘Bluetooth’, ambapo magari yote Dar nayo yatafungiwa ‘Bluetooth ID electronic chips’. Gari itakaposogea karibu vya kutosha (ndani ya mzingo wa meter 1 wa ‘parking slot’, na ikakaa hapo kwa zaidi ya dakika 5, basi ile ‘bluetooth chip’ ya kwenye hari na ‘Bluetooth sensor’ ya parking slot zitafanya ‘pairing’ na moja kwa moja gari itaanza kuwa ‘billed’. Billing itaendelea hadi pale gari itakapoondoka na kudisconnecttoka kwenye bluetooth ya parking.

Faida za mfumo huu ni lukuki, ikiwemo kuepusha hujuma za wafanyakazi wasio waadilifu, kupunguza gharama za mishahara nk.

Mteja atatumiwa Sms yenye control number kila mwisho wa wiki au mwezi ili alipe bili yake ya parking.
 
Hiyo ya kufunga device ya bluetooth kwenye magari ya watu ndio itakuwa moja ya setback.
Kuna magari ya nchi za jirani zetu yanazagaa mjini hapa, utayafanyaje?
 
Hiyo ya kufunga device ya bluetooth kwenye magari ya watu ndio itakuwa moja ya setback.
Kuna magari ya nchi za jirani zetu yanazagaa mjini hapa, utayafanyaje?
Ofcourse patakuwa na utaratibu wa masharti ya kutimizwa ili gari iruhusiwe kuingia Dar, na patakuwa na ukaguzi wa kutumia sensor kwa magari yanayopaki bila kuwa na pairable bluetooth ID sets, na fine zitakuwa kubwa kwa wataokutwa wamepark huku wamechokonoa pairable billing devices.
 
fine zitakuwa kubwa kwa wataokutwa wamepark huku wamechokonoa pairable billing devices.
Watakutwa na nani ikiwa hamna aliyeajiriwa kwa kazi hii kusave mishahara?

Na ikiwa watakuwepo monitors, kunq utofauti gani na mfumo uliopo sasa?
 
Watakutwa na nani ikiwa hamna aliyeajiriwa kwa kazi hii kusave mishahara?

Na ikiwa watakuwepo monitors, kunq utofauti gani na mfumo uliopo sasa?
Kutakuwa na ‘obstacle sensors’, ambapo parking slot ikiwa ‘occupied’ bila corresponding ‘Billable pairing’ kufanyika, zinatuma taarifa mskao mskuu, ns mtu atatumea kuangalia. Kutakuwa na very minimal staff.
 
Kutakuwa ‘obstscle sensor’, ambapo parking slot ikiwa ‘occupied’ bila corresponding ‘Billable pairing’ kufanyika, zinatuma taarifa mskao mskuu, ns mtu atatumea kuangalia. Kutakuwa na very minimal staff.
Hapo you are assuming most people watakuwa honest. Human nature shows most people to be dishonest. Refer SGR nauli ya buku to Dodoma.

Ikiwa watu wengi sana wamechezea hizo pairable, hao minimal staff wataweza kuwafuatilia wote?
 
Hapo you are assuming most people watakuwa honest. Human nature shows most people to be dishonest. Refer SGR nauli ya buku to Dodoma.

Ikiwa watu wengi sana wamechezea hizo pairable, hao minimal staff wataweza kuwafuatilia wote?
Kuna log itahifadhiwa, ambapo itabidi apeleke taarifa, ni kitu gani kilikuwa kwenye parking space, na kama ni gari, kwanini hali pair?
 
Kuna log itahifadhiwa, ambapo itabidi apeleke taarifa, ni kitu gani kilikuwa kwenye parking space, na kama ni gari, kwanini hali pair?
Hujanielewa. Ikiwa 50% ya magari wamechezea hizi bluetooth, unadhani staff kiasi gani watatosha kufuatilia na kuenforce?
 
Hujanielewa. Ikiwa 50% ya magari wamechezea hizi bluetooth, unadhani staff kiasi gani watatosha kufuatilia na kuenforce?
Kwakuwa fine zitakuwa kubwa sana, itatosha kulips nyongeza yeyote ya wafanyakazi itakayohitajika bila kutumia pesa toka kwenye mapato principal., hatimae watashika adabu, na wafanyakazi watapunguzwa accordingly.
 
Kwakuwa fine zitakuwa kubwa sana, itatosha kulips nyongeza yeyote ya wafanyakazi itakayohitajika bila kutumia pesa toka kwenye mapato principal., hatimae watashika adabu, na wafanyakazi watapunguzwa accordingly.
Ww utakua mmoja ya watakaofaidika na huo mfumo labda umepata tender ya kuufunga kwenye magari maana nimfumo ambao hauwezekani lakini unajaribu kuutetea mpk unaandika assumption zako badala kusema unavyofanyakazi
 
Kwa kupitia mfumo huu, ada za magari zitakuwa ‘charged automatically’ bila kuwa na wafanyakazi wanaotembea na vimashine vya EFD kuoiga oicha magari, how?

Ni kwamba zile sehemu zote za parking za kulipia, zitafungiwa ‘Sensor’ za ‘Bluetooth’, ambapo magari yote Dar nayo yatafungiwa ‘Bluetooth ID electronic chips’. Gari itakaposogea karibu vya kutosha (ndani ya mzingo wa meter 1 wa ‘parking slot’, na ikakaa hapo kwa zaidi ya dakika 5, basi ile ‘bluetooth chip’ ya kwenye hari na ‘Bluetooth sensor’ ya parking slot zitafanya ‘pairing’ na moja kwa moja gari itaanza kuwa ‘billed’. Billing itaendelea hadi pale gari itakapoondoka na kudisconnecttoka kwenye bluetooth ya parking.

Faida za mfumo huu ni lukuki, ikiwemo kuepusha hujuma za wafanyakazi wasio waadilifu, kupunguza gharama za mishahara nk.

Mteja atatumiwa Sms yenye control number kila mwisho wa wiki au mwezi ili alipe bili yake ya parking.

Nitarudi...
 
Ww utakua mmoja ya watakaofaidika na huo mfumo labda umepata tender ya kuufunga kwenye magari maana nimfumo ambao hauwezekani lakini unajaribu kuutetea mpk unaandika assumption zako badala kusema unavyofanyakazi
😂😂😂😂😂, hamna bhanaa, mbona mi ni kawaida yangu kupendekeza 😂😂

 
Back
Top Bottom