Napendekeza Nape na Makamba waongezwe kwenye timu ya wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA

Napendekeza Nape na Makamba waongezwe kwenye timu ya wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hii ni kwa sababu wao kama wanaCCM hawana upande wowote ndani ya CHADEMA hivyo itazuia malalamiko yoyote toka kambi ya Lissu au Mbowe. Nape na Makamba ni wazoefu wa mambo ya uchaguzi hivyo watawasaidia sana wenzetu wa CHADEMA kwenye uchaguzi wao hasa kwenye kuhakikisha usalama wa kura.

CHADEMA fanyieni kazi huu ushauri wangu.
 
Hii ni kwa sababu wao kama wanaCCM hawana upande wowote ndani ya CHADEMA hivyo itazuia malalamiko yoyote toka kambi ya Lissu au Mbowe. Nape na Makamba ni wazoefu wa mambo ya uchaguzi hivyo watawasaidia sana wenzetu wa CHADEMA kwenye uchaguzi wao hasa kwenye kuhakikisha usalama wa kura.

CHADEMA fanyieni kazi huu ushauri wangu.
CCM haina upande kwenye huu uchaguzi?
 

Attachments

  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 2
Wazo lako zuri sanaa mkuu ila huyo Nape angepewa tu cheo cha msimamizi mkuu wa uchaguzi hapo chadema, Maana akipewa upande mmoja halafu ukashinda itaonekana huyo mshindi wa upande wake katumia bao la mkono.
 
Wazo lako zuri sanaa mkuu ila huyo Nape angepewa tu cheo cha msimamizi mkuu wa uchaguzi hapo chadema, Maana akipewa upande mmoja halafu ukashinda itaonekana huyo mshindi wa upande wake katumia bao la mkono.
Kuna timu ya watu 8 imeundwa kusimamia uchaguzi mzima. Wangeongezwa hao wawili.
 
Back
Top Bottom