Inaonekana unaamini sana katika majina kumcontrol mtu.Unataka kumpa mama jina la kutunga!!!?
wacha zako mama ni SSH
Mzee angekufunga ayseeeKwa JPM tulipaswa kumwita JOPOMA au sio?
JO: John
PO: Pombe
MA: Magufuli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa JPM tulipaswa kumwita JOPOMA au sio?
JO: John
PO: Pombe
MA: Magufuli