Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sisi wazungu kiufasaha huwa tunatamka Double S H.Unazijua tabia za kina sasha lakini? au unaongeo tuu. Mama ni ES ES HECHI
Wana piga mizinga hao hatari alafu wengi weupe weupe alafu vyembamba !Unazijua tabia za kina sasha lakini? au unaongeo tuu. Mama ni ES ES HECHI
[emoji1787]Kwa JPM tulipaswa kumwita JOPOMA au sio?
JO: John
PO: Pombe
MA: Magufuli
Tatizo wanaoongea kiinglishi watatuharibia...!! Si unakumbuka Rais wa SA alikuwa anatamka.. SAMAYA...!!Kama hatojali, napendekeza Rais wetu akubali tutumie jina lake la kwanza "Samia"....ni fupi, rahisi na zuri pia.
Hata cha Samia "SSH" Kiko poa sanaKwa sababu kifupi cha magufuli kilifiti na kuwa rahisi hata kutamkwa yaani jpm ndio maana haikutumiwa jopoma hahahah
Na mimi ningejifanya kukosea kutamka nikatamka POPOMA ili anifunge vizuri!Mzee angekufunga ayseee
Umefeli.Kinachotafutwa ni wepesi tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa JPM tulipaswa kumwita JOPOMA au sio?
JO: John
PO: Pombe
MA: Magufuli