Walimu wavae chupi nyeusi, katikati kwenye msamba ziandikwe "hapa kazi tu"
1.Kada ya Ualimu-wavae mashati yenye vufungo mabegani vion meupe yeshe madaraja yao kama vile grade A,AEO iii,EOii,EOi,PEOi,PEOii etc.chini wavaa rangi blue iliyokolea.
2.Wahasibu wote wavae mashati meupe na chini nyeusi mabegani wawekewe kama vifungo na kupewa vyeo kulingana na bodi ya uhasibu tz mfano CPA,Ai-v ,OA, etc
3.Wanasheria mashati meupe na tai nyekundu chini nyeusi,
4.Afisa nyuki,kilimo,uvuvi, wavae maovaroli ya bluu
Mapendekezo yataendelea
Bangi ya msoga Mara nyingi si nzuri