Napendekeza Suzan Kaganda awe IGP ajaye

Napendekeza Suzan Kaganda awe IGP ajaye

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Ingekuwa maoni yangu!

Ningeshauri nafasi ya IGP ateuliwe mama mmoja anaitwa SUZAN!

Huyu mama ukiweka pembeni madhaifu ya kimfumo, anaouwezo mkubwa sana wa kusimamia maswala ya usalama wa raia na Mali zake!

Huyu mama hapendi kabisa kuona magwanda ya jeshi yanatumiwa na watu wenye roho za kijambazi!

Huyu mama hapendi kabisa kuona jambazi mwenye mwavuli wa kipolisi kuendelea kusimamia mammlaka makubwa ya usalama wa raia!

Huyu mama kiutendaje ni rahisi hata kufanya mawasiliano na Rais hata kama ni usiku wa manane na wakaongea kama mashost!

Huyu mama ni msomi mzuri na anauwezo wa mkubwa wa kuendana na kasi ya awamu ya sita!

Ukiachana na njia nyingine ya kimfumo! Njia pekee kwa sasa kurejesha iman kwa watendaji ni kubadilisha IGP!

Nasikitika sana kuona watu wa hovyo hovyo kama wale wa mtwara kuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakisimamia HAKI ZA WATU!

Kama uongozi mzima umedakwa! Mangapi hayakujulikana kabla?
 
Ingekuwa maoni yangu!

Ningeshauri nafasi ya IGP ateuliwe mama mmoja anaitwa SUZAN!

Huyu mama ukiweka pembeni madhaifu ya kimfumo, anaouwezo mkubwa sana wa kusimamia maswala ya usalama wa raia na Mali zake!

Huyu mama hapendi kabisa kuona magwanda ya jeshi yanatumiwa na watu wenye roho za kijambazi!

Huyu mama hapendi kabisa kuona jambazi mwenye mwavuli wa kipolisi kuendelea kusimamia mammlaka makubwa ya usalama wa raia!

Huyu mama kiutendaje ni rahisi hata kufanya mawasiliano na Rais hata kama ni usiku wa manane na wakaongea kama mashost!

Huyu mama ni msomi mzuri na anauwezo wa mkubwa wa kuendana na kasi ya awamu ya sita!

Ukiachana na njia nyingine ya kimfumo! Njia pekee kwa sasa kurejesha iman kwa watendaji ni kubadilisha IGP!

Nasikitika sana kuona watu wa hovyo hovyo kama wale wa mtwara kuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakisimamia HAKI ZA WATU!

Kama uongozi mzima umedakwa! Mangapi hayakujulikana kabla?
Picha/CV tafadhali
 
Hamna kitu pale.

Kwanza vyeo vimekimbia sababu mama yake alikuwa ikulu, kana elimu ya darasani lakini utashi wa kijeshi ni 0.
Utashi UPI ambao hana Suzan! Labda kuiba na kubambika watu makosa ndo hana!
Lakini displine ya kijeshi anayo! Uongozi bora kashatunukiwa vyeti lukuki huyu mama!
 
Utashi UPI ambao hana Suzan! Labda kuiba na kubambika watu makosa ndo hana!
Lakini displine ya kijeshi anayo! Uongozi bora kashatunukiwa vyeti lukuki huyu mama!
Awe IJP
 
Ingekuwa maoni yangu!

Ningeshauri nafasi ya IGP ateuliwe mama mmoja anaitwa SUZAN!

Huyu mama ukiweka pembeni madhaifu ya kimfumo, anaouwezo mkubwa sana wa kusimamia maswala ya usalama wa raia na Mali zake!

Huyu mama hapendi kabisa kuona magwanda ya jeshi yanatumiwa na watu wenye roho za kijambazi!

Huyu mama hapendi kabisa kuona jambazi mwenye mwavuli wa kipolisi kuendelea kusimamia mammlaka makubwa ya usalama wa raia!

Huyu mama kiutendaje ni rahisi hata kufanya mawasiliano na Rais hata kama ni usiku wa manane na wakaongea kama mashost!

Huyu mama ni msomi mzuri na anauwezo wa mkubwa wa kuendana na kasi ya awamu ya sita!

Ukiachana na njia nyingine ya kimfumo! Njia pekee kwa sasa kurejesha iman kwa watendaji ni kubadilisha IGP!

Nasikitika sana kuona watu wa hovyo hovyo kama wale wa mtwara kuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakisimamia HAKI ZA WATU!

Kama uongozi mzima umedakwa! Mangapi hayakujulikana kabla?
Vijana wa chaggadema bana🤣🤣🤣🤣
 
Utashi UPI ambao hana Suzan! Labda kuiba na kubambika watu makosa ndo hana!
Lakini displine ya kijeshi anayo! Uongozi bora kashatunukiwa vyeti lukuki huyu mama!
Umeamua kumpigia kampeni wazi wazi......
 
Back
Top Bottom