FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #41
Naona ushauri umeanza kufanyiwa kazi kwenye baadhi ya mitaa jijini Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguzo za Taa nesi siko zinaanguka kila siku, mtamudu kutembea giza huko barabarani? na hizo waya za simu ni zipi maana waya za simu ziliachwa zamani kabisa siku hizi ni wayaless kwenda mbeleYaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno.
Pia badala ya kusimika mistimu ya nyaya za simu napendekeza hizo nyaya za simu zifunge tu kwenye mistimu ya umeme ambayo ipo tayari hivyo kuokoa gharama kubwa sana katika usambazaji wa mawasiliano
Barabara ninayokaa nguzo ziko mita 10 hadi 20 kutoka barabarani unataka wafunge taa kwenye nguzo ili uwe unawanga gizani?
Kwamba zisipofungwa hizi taa ndio zitaacha kuanguka?Nguzo za Taa nesi siko zinaanguka kila siku, mtamudu kutembea giza huko barabarani? na hizo waya za simu ni zipi maana waya za simu ziliachwa zamani kabisa siku hizi ni wayaless kwenda mbele
Nyingi ya nguzo za Tanesco zimeoza na nyingine zimesimikwa vibaya toofauti na nguzo maalumu kwaajili ya taa za barabaraniKwamba zisipofungwa hizi taa ndio zitaacha kuanguka?
Na zisipofungwa hizo taa zitaacha kuoza?Nyingi ya nguzo za Tanesco zimeoza na nyingine zimesimikwa vibaya toofauti na nguzo maalumu kwaajili ya taa za barabarani
RubbishNa zisipofungwa hizo taa zitaacha kuoza?
Rubbish ni kujibu hoja bila hojaRubbish
Rubbish
TTCL na Tanesco wameshatia saini mkataba wa kupitisha nyayabza simu kwenye nguzo za umemeMiji mikubwa sasa hivi haipaswi kuwa na hiyo minguzo iliyopinda miguu.
Umeme upitishwe chini.
Teh teh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!TTCL na Tanesco wameshatia saini mkataba wa kupitisha nyayabza simu kwenye nguzo za umeme
😂😂😂😂, mi ndio maana siku zote napenda mtu ajadili kwa hoja, ukijadili kwa vijembe haujengi bali unaharibu mjadala. Biguo kwa Tanesco na TTCL, maana wataboresha mno mawasiliano kwa gharama ndogo sana ukikinganisha kama wangelazimika kuchimba mitaro mipya au kusimika nguzo upya nchi mzima.. 👏👏👏Teh teh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Sasa hao wabishi na wajuaji waliokukejeri na kukung'ong'a mbona leo hawajitokezi angalau kiungwana 'kuunga mkono hoja', au bado tu wamechutama na kuendelea kuficha aibu zao?
Tanesco na TTCL wameshaanza kutekeleza, wametikiana saini jana.Wazo zuri lakini halitekelezeki
Tanesco na TTCL wametiliana saini jana mradi wa kupitisha nyaya za mawasiliano kwenye nguzo za umeme 😉Kuhusu taa kufungwa kwenye nyaya za umeme sina pingamizi lakini nyaya za simu kidogo kuna shida kidogo.
Hujasema nguzo za umeme za msongo mkubwa(high tension) au msongo mdogo.
Kuna kanuni inaitwa kanuni ya kiganja cha kulia cha mkono ya Jean Ampere'.(Ampere's hand right rule).Kanuni inasema ukikamata waya wa umeme(grip) welekeo wa dole gumba ni welekeo wa umeme na welekeo wa vidole vingine vilivyobaki ni welekeo wa mawimbi sumaku(electromagnetic fields) kwa welekeo wa kinyume saa(anticlockwise).
Waya wowote unaopitisha umeme kando kando yake kuna mawimbi sumaku.Yanakuwa na nguvu kubwa kama umeme ni wa msongo mkubwa.
Ndio maana chunguza panapokuwa na umeme wa msongo mkubwa sana kunakuwa na eneo kubwa chini yake hairuhusiwi kujenga.
Kumbuka waya wa umeme ulio wazi hasa msongo mkubwa unapokuwa na nia ya kuugusa kiukweli kuna umbali kabla hujaugusa unakuvuta wenyewe shauri ya haya mawimbi sumaku.
Tuje kwenye mada nyaya za simu kumbuka sio tu zinapitisha mawimbi umeme ya maongezi zinapitisha mawimbi mengine mfano channel za TV,Fax,computer,wakati mwingine maongezi ya radio,fiber optics n.k.
Hivyo kuchanganya hizi nyaya na za umeme kuna uwezekano mkubwa wa muingiliano(interference) wa mawimbi sumaku na kuleta sintofahamu kubwa kimawasiliano.