Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

Juhudi ziongezwe kusambaza nyaya za simu majumbani
Hivi The DON, kwa nini nchi hii ubunifu ni ZIRO,
Huko maofisini hawa watu wanafanya nini?!!

Wazo laki lilikuwa bora kabisa, lakini utekelezaji hata kama wameanza ni wa kigoigoi sana, napata mashaka neno hili upigaji, ni jinamizi kubwa sana , kiasi kwamba wanaina hata mawazo mazuri kama yako yatapunguza ulaji wao,

Watu hata aibu hawana , anaenda kazini anarudi nyumbani , lakini kitu gani kipya wanafanya kurahisisha maisha ya Watanzania hawana,

Wanachoangalia ni kulipwa mishahara tu.

Pole Magufuli, Mungu alikupenda Baba.
 
Sikuuliza bali nimekujulisha tu kwamba, umbali wa taa za barabarani na umbali wa nguzo za umeme ni sawa, na endapo kunatofauti kidogo, basi inafidiwa kwa kuadjust ukubwa na power ya taa husika (Size and watts).
Hivi uliweza vipi kujibishana na mpuuzi kama huyu,
Huyu ndio ujue wapo huko maofisini,
Hawana uwezo wa kuangalia vitu vipya na ku vi implement.

Angekuwa ni mzungu kafanya hivyo , au katoa wazo, ingekuwa ni vigeregere,

Umemwinyesha hata picha, lakini haelewi
 
Hivi uliweza vipi kujibishana na mpuuzi kama huyu,
Huyu ndio ujue wapo huko maofisini,
Hawana uwezo wa kuangalia vitu vipya na ku vi implement.

Angekuwa ni mzungu kafanya hivyo , au katoa wazo, ingekuwa ni vigeregere,

Umemwinyesha hata picha, lakini haelewi
Hahahhah, humu kuna watu wapo kazi yao ni kuvuruga tu mijadala, sasa namna pekee ya kuwadhibiti ni kuwapa hoja na kuwajibu kwa hoja, hiyo huwa inawamaliza kabisa.
 
Back
Top Bottom