ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Watu wanalalamika as if hiyo kauli mama hakuisema.Kwanini lakini mnapingana na kauli ya Mkuu wa nchi? Ameshasema, wale urefu wa kamba zao. Wameruhusiwa hata hao Takukuru wanakula urefu wa kamba zao. Kipindi hiki ni unakuwa vile unataka, uwe na hela au kapuku.
Tukiachana na hayo, kiongozi wa nchi hakupaswa kutoa kauli ile, wale kutoka wapi na ni kodi za wananchi, kuwanyonya. Halafu mko humu kumpamba hapohapo mnalia rushwa. Aifute kauli yake, na Takukuru watangaze dau, kila ukiweza kupiga picha Traffic akipokea rushwa kuna zawadi. Angalau itapunguza.
Huyo TAKUKURU aliisikia hiyo kauli,polisi pia aliisikia,nani wa kulaumiwa?
