Napendekeza: TAKUKURU wajifanye kama kondakta wa daladala ili wadake traffic wala rushwa

Watu wanalalamika as if hiyo kauli mama hakuisema.
Huyo TAKUKURU aliisikia hiyo kauli,polisi pia aliisikia,nani wa kulaumiwa?
 
Makondakta wa Ukweli, watawapa Umbeya Tragic...!

Coz washazoea kutoa Rushwa.
 
Wafuate sheria ili nchi iendeshwe kwa kufuata sheria
 
Tena kwa asubuhi na mapema wanajipanga kabisa kwenye vituo vya Daladala kuchukua mapato yao kabla jua alijazama. Really trafiki wamejisahau mno na wamelewa Rushwa kuliko kazi yao!
 
Huko kote mbali, Takukutu wakiwafanyia lifestlyee audit hakuna askari anachomoka,.
 
Wafuate sheria ili nchi iendeshwe kwa kufuata sheria
Wewe unafuata sheria? Hujawahi kuwatetea wamachinga wanaopanga bidhaa barabarani? Hujawahi kuwatetea mama ntilie wanaofukuzwa maeneo yasiyo rasmi? Hujawahi kuwatetea watu wanaovunjiwa nyumba zao kwa kujenga kwenye hifadhi ya barabara?
 
Wewe unafuata sheria? Hujawahi kuwatetea wamachinga wanaopanga bidhaa barabarani? Hujawahi kuwatetea mama ntilie wanaofukuzwa maeneo yasiyo rasmi? Hujawahi kuwatetea watu wanaovunjiwa nyumba zao kwa kujenga kwenye hifadhi ya barabara?
Tena hao sitaki hata kuwaona uliwahi niona wapi nawatetea!?
 
Buku ni rushwa ama hela ya maji waoneeni huruma kukaa kwenye jua sio mchezo
Hiyo ni kazi kama kazi nyingine kama kukaa kwenye jua kuna askari anaona sio mchezo basi iache kazi hiyo ili wenye uwezo nayo waifanye. watu wanalima na mvua nini jua.
 
Janja janja😆
 
Hii nchi si takukuru wala tiss wote hakuna kitu!!
Huwaga najiuliza kazi zao ni zipi!?
Tiss wanashindwaje kujifanya wasaka viungo vya albino Ili wajue mtandao!??
Tiss wanashindwaje kujifanya mateja wajue wauza unga wapo wapi na ni akina nani!?
Tiss wanashindwaje kujua kama peas za sauz zinaweza kulimwa hata lushoto Kwa kupeleleza udongo na climate ya sauzi!??
Huku Tanga na maeneo ya same wakenya wanakuja kuzoa machungwa na vitunguu nasikia wanauza ulaya !! Kwann watz wasiuze wao ulaya direct!? Hili wangeweza kulifanya! Ila hakuna kitu!!
Takukuru ndio usiseme rushwa kibaoo za trafik !! Wanachujua ni kuendesha vi Toyota vya mkopo vya premio[emoji42][emoji42]
 
Hiyo ishashindikana

Nchi ngumu hii ile hela wanaokula matrafik na wao wanaeleka mgawo wao kwa wakubwa zao
In short wametumwaaaa

Ova
Tlaatlaah
 
Hiyo ishashindikana

Nchi ngumu hii ile hela wanaokula matrafik na wao wanaeleka mgawo wao kwa wakubwa zao
In short wametumwaaaa

Ova
Tlaatlaah
nadhani kila taasisi ya umma humu nchini,
inawajibika kwa sehemu yake kwa mujibu wa sheria na katiba,

na kwa utashi wa waandamizi wake wanaoongoza taasisi hizo kuona namna ya kuzingatia maoni, mitazamo na ushauri wa wananchi kujiimarisha zaidi na kuongeza ufanisi kiutendaji kazi wa taasisi hizo
 
Kila daladala kuna vituo lazima waache 2000
Konda anashuka anakwenda mminyia traffic

Ova
Wala hahitaji mshahara
Ila ukiangalia malori tairi zimeisha kabisa na zikiuwa wanakuambia break zimefeli kumbe kaachiwa kwa buku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…