MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #21
maoni ya kikenge sio mahala pake hapa.Wewe Nguruwe, sikiliza nimesoma na mimi nimekupa maoni yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maoni ya kikenge sio mahala pake hapa.Wewe Nguruwe, sikiliza nimesoma na mimi nimekupa maoni yangu.
ha ha hamaoni ya kikenge sio mahala pake hapa.
Mbona za kawaida hizo mie ninazo 89 😂😁😁Aisee bora! Sababu haiwezekani na miaka yangu hii 23 niwe na 79kg🥺
Fanya mazoezi, wewe mwanaume ujueMbona za kawaida hizo mie ninazo 89 😂😁😁
Madhara ya nyama ni yapi mkuu?Mimi naenda Km 8 hadi 10 Kila siku jioni naenda kukimbia na Wakati wa kurudi natembea Huwa yanaambatana na mazoezi ya viungo,Kwa vile Niko Kisarawe huku nakutana na vilima viwili wakati wa kwenda na kurudi kimoja.Wakati huu wa Mvua na mwezi wa RAMADHANI Kwa wadau tumesimama.Ila Kila jioni pushups 10, Squatter series,mazoezi ya kukata tumbo pamoja na kunyosha mwili,haya nafanyia chumbani.Kwa Sasa Soda situmii kabisa,Nyama nimeacha kabisa.Niko na zaidi ya 40 lakini shemeji yenu anajua.
Naunga mkono hoja skuizi hadi pafomansi yangu kwenye 6 to 6 imekuwa miyeyusho naishia 3 tu ngoja nianze kukimbia na kunywa maji mengiFanya mazoezi, wewe mwanaume ujue
Nyama ya Mbuzi Nilikuwa nakula karibu Kila siku,ikaanza kunisumbua miguu.Dr akanishauri nipunguze Baada ya Hapo nimepiga chini zote.Nimebakiza Kuku na Samaki tu.Madhara ya nyama ni yapi mkuu?
Kwa kiasi sio mbaya bila shakaNyama ya Mbuzi Nilikuwa nakula karibu Kila siku,ikaanza kunisumbua miguu.Dr akanishauri nipunguze Baada ya Hapo nimepiga chini zote.Nimebakiza Kuku na Samaki tu.
Count me in.Wakuu sio siri kuwa ukivuka miaka 30 kuna mabadiliko ya kimwili lazima uyaone yakikujia kwa kasi ikiwemo kitambi. Kwa wale waliojaliwa riziki kidogo hali huwa mbaya zaidi ndo maana Mzee Janabi anazidi kutoa matamko. Wengi wetu tumekulia kwenye familia duni hivyo huku ukubwani baada ya mambo kuwa mazuri tunaanza kufakamia vyakula vya ndoto zetu. Sio mbaya ila lazima kuchukua tahadhari.
Sasa mimi nimekuja na hii hamasa ya members wa JF kujipa muda hata wa dakika 20 kufanya jogging ili kusaidia mwili kuwa fit. Kwa sababu humu hatutaki kujuana physically ninashauri tujiorodheshe tunaopenda mazoezi kisha kila siku tuji-committ kufanya mazoezi na kupeana updates kilichojiri huko uliko.
Binafsi sio mtaalamu wa mazoezi ila ningependa tuanze na 1KM CHALLENGE. Yaani kila siku members tupeane challenge ya kukimbia 1km.
Members watakaofanya hii challenge wanaweza tumia App ya jogging kama ile ya ADIDAS kwenye simu zao na kutupia matokeo yao kwa maana ya umbali waliokimbia, muda, calories burnes na pace. Ninaamini hii itahamasisha.
Ninakaribisha maoni.
👍Kwa kiasi sio mbaya bila shaka
😂😂😂Wazo zuri, ila iwe jogging kweli wakuu, nina wasiwasi zisije anzishwa jogging zetu pendwa.
Mliofakamia vyakula hadi mkapata vitambi fanyeni, wengine tuko wembamba kama reli.Wakuu sio siri kuwa ukivuka miaka 30 kuna mabadiliko ya kimwili lazima uyaone yakikujia kwa kasi ikiwemo kitambi. Kwa wale waliojaliwa riziki kidogo hali huwa mbaya zaidi ndo maana Mzee Janabi anazidi kutoa matamko. Wengi wetu tumekulia kwenye familia duni hivyo huku ukubwani baada ya mambo kuwa mazuri tunaanza kufakamia vyakula vya ndoto zetu. Sio mbaya ila lazima kuchukua tahadhari.
Sasa mimi nimekuja na hii hamasa ya members wa JF kujipa muda hata wa dakika 20 kufanya jogging ili kusaidia mwili kuwa fit. Kwa sababu humu hatutaki kujuana physically ninashauri tujiorodheshe tunaopenda mazoezi kisha kila siku tuji-committ kufanya mazoezi na kupeana updates kilichojiri huko uliko.
Binafsi sio mtaalamu wa mazoezi ila ningependa tuanze na 1KM CHALLENGE. Yaani kila siku members tupeane challenge ya kukimbia 1km.
Members watakaofanya hii challenge wanaweza tumia App ya jogging kama ile ya ADIDAS kwenye simu zao na kutupia matokeo yao kwa maana ya umbali waliokimbia, muda, calories burnes na pace. Ninaamini hii itahamasisha.
Ninakaribisha maoni.
Heri ya mwezi mtukufu ustaadhat, au huwa mnasemaje!
Heri ya mwezi mtukufu ustaadhat, au huwa mnasemaje!
Huchezi mbali mzee mwenzangu😁Hii jogging wasiokua na vifaa na nguo za mazoezi waje niwauzie