Napendekeza tuanzishe JF Jogging Club ya mtandaoni

Madhara ya nyama ni yapi mkuu?
 
Count me in.
 
Wazo Zuri na litaleta hamasa., km 1 ni ndogo at least 5 either mtu akimbie au atembee..watu wengi humu wanapenda privacy ni bora mtu akatuma details kutoka kwenye saa au app na sio ramani..

Kwa mahitaji ya vifaa vyote vya mazoezi kuanzia vipochi vya kubeba simu, nguo za kukimbilia, saa, etc na vifaa vyote vya mazoezi ya nyumbani kama Matt's, step board, weights etc..tuwasiliane...
 
Mliofakamia vyakula hadi mkapata vitambi fanyeni, wengine tuko wembamba kama reli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…