Napendekeza tuanzishe JF Jogging Club ya mtandaoni

Usicheke, halafu wewe MamaSamia2025 inaonekana una kitambi.
Ndo kinakuja kwa kasi aisee.. ni hofu tupu. Kwa miaka mingi kina dada wamekuwa wakiniita handsome ila kwa sasa kumekuwa na uhaba mkubwa wa wanaosema hivyo. Majuzi nilimtembelea binamu yangu tukapiga picha kumbe nilikuwa sijui nilivyo kwa sasa... karibia nijikatae.... picha zilitoka kama nimevimba usoni.. shavu kama mtu aliyeumwa na nyuki.
 
Piga pushups 100 kila siku, anza kuruka kamba, kisha mazoezi ya tumbo.

Baada ya mwezi mmoja utakuja kunishukuru.
 
Wakuu leo ndo tunaanza program yetu rasmi. Mimi nitawapa update kilichojiri nikishatoka jogging... wenye muda pia msiache kwenda.
 
Wakuu binafsi. Nimekimbia 1km na kutembea 5km na matokeo ni kama yanavyoonekana.
 
Wazo zuri
 

Daaah kisarawe sio Poa hasa ule mlima wa kuisaka Minaki Seco Ule mlima ni Balaaa kupandsha gari zenyewe tu Huwa zinapanda Taratibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…