Napendekeza ufanyike usajili kwa vijana wote wanahamia majijini kutafuta maisha

Napendekeza ufanyike usajili kwa vijana wote wanahamia majijini kutafuta maisha

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sasa hivi vijana wa vijini wanahamia Wilayani na mikoani kwenda kufanya uchuuzi.

Vijana wa Wilayani na mikoani wanahamia Dar es salaam. Kijana hata elimu ya kidato cha nne hana, cheti cha ufundi hana, ufundi au ujuzi wowote hana anakimbia kijijini anakwenda mjini .

Ufanyike usajili kwenye majiji yote Tanzania kwa kila mkazi mpya hasa vijana. Kijana akiingia kwenye jiji aonyeshe vyeti vyake, kama hana cheti afanyiwe test ya ujuzi wake.

Kwa wasio na elimu kuanzia astashahada wenyeji wao wathibitishe shughuli ambazo wameziandaa kwa wageni wao.

Serikali ifumbe macho itoe mabilioni ya mikopo na ruzuku kwa vijana wa vijini walioungana kwa shughuli za kilimo, Uvuvi, Ufugaji, uchimbaji madini n.k

Nguvu kazi ya Taifa inahangahika kwenye majiji kuuza mikorokoro ya mchina na kuendesha bodaboda za Wahindi.
 
Sasa hivi vijana wa vijini wanahamia Wilayani na mikoani kwenda kufanya uchuuzi.

Vijana wa Wilayani na mikoani wanahamia Dar es salaam. Kijana hata elimu ya kidato cha nne hana, cheti cha ufundi hana, ufundi au ujuzi wowote hana anakimbia kijijini anakwenda mjini .

Ufanyike usajili kwenye majiji yote Tanzania kwa kila mkazi mpya hasa vijana. Kijana akiingia kwenye jiji aonyeshe vyeti vyake, kama hana cheti afanyiwe test ya ujuzi wake.

Kwa wasio na elimu kuanzia astashahada wenyeji wao wathibitishe shughuli ambazo wameziandaa kwa wageni wao.

Serikali ifumbe macho itoe mabilioni ya mikopo na ruzuku kwa vijana wa vijini walioungana kwa shughuli za kilimo, Uvuvi, Ufugaji, uchimbaji madini n.k

Nguvu kazi ya Taifa inahangahika kwenye majiji kuuza mikorokoro ya mchina na kuendesha bodaboda za Wahindi.
Vipi mzee unawaonea wivu vijana wenzako walioamua kutoka magetoni aaah acha hizo bhana.. pambania maisha yako na wewe!
 
Naona kutekwa haitoshi sasa mnataka full police state na kuambiwa wapi pa kuishi ndani ya nchi yenu, sijui kwanini watu wanapenda kuweka control kwa watu wengine wakati wao hawapendi kuulizwa maswali ya kifala kama ya mleta mada
 
Vipi mzee unawaonea wivu vijana wenzako walioamua kutoka magetoni aaah acha hizo bhana.. pambania maisha yako na wewe!
Nchi lazima iwe na msimamo wake si kwakuwa katiba yetu imeruhusu movement yoyote ndani ya nchi kwamba vijana wajiendee tu majijini bila kujua wanafikia wapi , wanakwenda kufanya shughuli ipi
 
Wenye akili tumekuelewa.
Nchi haiendelei kwa kuwa na machinga wengi ila inaendelea kwa kuboresha maisha ya mkulima na kilimo chake.
Serikali ndio chanzo cha haya yote.
 
Sasa hivi vijana wa vijini wanahamia Wilayani na mikoani kwenda kufanya uchuuzi.

Vijana wa Wilayani na mikoani wanahamia Dar es salaam. Kijana hata elimu ya kidato cha nne hana, cheti cha ufundi hana, ufundi au ujuzi wowote hana anakimbia kijijini anakwenda mjini .

Ufanyike usajili kwenye majiji yote Tanzania kwa kila mkazi mpya hasa vijana. Kijana akiingia kwenye jiji aonyeshe vyeti vyake, kama hana cheti afanyiwe test ya ujuzi wake.

Kwa wasio na elimu kuanzia astashahada wenyeji wao wathibitishe shughuli ambazo wameziandaa kwa wageni wao.

Serikali ifumbe macho itoe mabilioni ya mikopo na ruzuku kwa vijana wa vijini walioungana kwa shughuli za kilimo, Uvuvi, Ufugaji, uchimbaji madini n.k

Nguvu kazi ya Taifa inahangahika kwenye majiji kuuza mikorokoro ya mchina na kuendesha bodaboda za Wahindi.
Kwaiyo waendesha Boda boda hawatakiwi Jijini Dar sio...hii Hoja yako ungeiweka kwamba huko vijijini serikali iwekeze nguvu kuweka mazingira ya kujiajri mazuri ili yawavutie vijana kubaki vijijini
 
Kwaiyo waendesha Boda boda hawatakiwi Jijini Dar sio...hii Hoja yako ungeiweka kwamba huko vijijini serikali iwekeze nguvu kuweka mazingira ya kujiajri mazuri ili yawavutie vijana kubaki vijijini
Wataendesha wazawa wa majijini.
Unaona ni afya mtu atoke Manyara au Simanjiro kuja Dar es salaam kuendesha bodaboda?
 
Back
Top Bottom