demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mpaka sasa wanayanga mnapaswa kujipiga kifuani kwa kazi kubwa sana iliyofanywa na viongozi wenu katika dirisha hili la usajili.
Wengi wenu mmeonekana kuridhishwa kwa asilimia 100 kwa namna usajili ulivyofanyika. Hata hivyo kuna idadi wa wachezaji wawili wa kigeni ambao hawajatangazwa kuachwa ili kubalance idadi ya wachezaji 12 wa kigeni.
Upande wa Kushoto:-
Yocouba Sogne
Bernard Morrison
Dickson Ambundo
Upande wa Kulia:-
Stephane Aziz Ki
Kambole Lazarou
Wonder Kid
Juu kati:-
Fiston Mayele
Herithier Makambo
Yusuph Athumani
Crispin Ngushi
Katika maeneo tajwa hayo juu ambayo ni ya msingi sioni umuhimu wa kuwepo kwa Chico Ushindi wala Jesus Ducapel Moloko.
Aidha eneo la kiungo kumejaa wachezaji wa nyota 5 kama vile AUCHO, GAEL, BANGALA, FEISAL na BABU KAJU.
Je kuna nafasi katika eneo la kiungo ambako anaweza kuingia Moloko au Chico? Jibu ni hapana.
Hivyo basi ni wakati sahihi wa kuwatakia mkono wa kwa kheri kwa kuwa sehemu ya ubingwa wa ligiKUU tanzania bara.
Wengi wenu mmeonekana kuridhishwa kwa asilimia 100 kwa namna usajili ulivyofanyika. Hata hivyo kuna idadi wa wachezaji wawili wa kigeni ambao hawajatangazwa kuachwa ili kubalance idadi ya wachezaji 12 wa kigeni.
Upande wa Kushoto:-
Yocouba Sogne
Bernard Morrison
Dickson Ambundo
Upande wa Kulia:-
Stephane Aziz Ki
Kambole Lazarou
Wonder Kid
Juu kati:-
Fiston Mayele
Herithier Makambo
Yusuph Athumani
Crispin Ngushi
Katika maeneo tajwa hayo juu ambayo ni ya msingi sioni umuhimu wa kuwepo kwa Chico Ushindi wala Jesus Ducapel Moloko.
Aidha eneo la kiungo kumejaa wachezaji wa nyota 5 kama vile AUCHO, GAEL, BANGALA, FEISAL na BABU KAJU.
Je kuna nafasi katika eneo la kiungo ambako anaweza kuingia Moloko au Chico? Jibu ni hapana.
Hivyo basi ni wakati sahihi wa kuwatakia mkono wa kwa kheri kwa kuwa sehemu ya ubingwa wa ligiKUU tanzania bara.