Napendekeza watumishi wote wa umma kwenye sekta za ‘Ulaji’ wafungiwe bodycam wawapo kazini

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Yaani ile ame ‘sign in’ tu kazini, iwe ndani au nje ya ofisi, anatakiwa avae bodycam na aiwashe katika masaa yota atakayokuwa kazini, hata kama ameenda kula.., hii itasaidia sana kuboresha ufanisi katika utendaji kazi na kupunguza rushwa.
 
Yaani ile ame ‘sign in’ tu kazini, iwe ndani au nje ya ofisi, anatakiwa avae bodycam na aiwashe katika masaa yota atakayokuwa kazini, hata kama ameenda kula.., hii itasaidia sana kuboresha ufanisi katika utendaji kazi na kupunguza rushwa.
Wazo zuri japo halitekelezeki ktk nchi yetu coz viongozi wa juu ndo wazembe na wavivu kuliko hata watumishi wa ngazi za chini.
 
Acha huo ujinga wako
Maana huo ni wivu
Jitahidi ulambe asali na wewe
 
Cjui Hilo swala Kama litaleta matokeo 100% kwenye mizani za barabarani Kuna camera lakini rushwa ndo hazikomi
 
Tuanze kwanza na askari wa usalama barabarani, halafu makundi mengine yafuate. Hawa jamaa ukiwaona barabarani unaweza kufikiri labda wako serious sana na kazi!! Kumbe wako busy na rushwa tu.
 
Cjui Hilo swala Kama litaleta matokeo 100% kwenye mizani za barabarani Kuna camera lakini rushwa ndo hazikomi
Camera ni tofauti na bodycam, yaani hadi anachoongea tutasikia, hadi anaeongea nae tutamuona papo kwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…