Napendezwa sana na utulivu alionao Freeman Mbowe

Mbowe ni mkubwa sana kuliko msigwa .
Mwenyekiti wa chama kilichopata kura 4.6 mil zilizotangazwa hawezi kulumbana na msigwa.
 
Matajiri siku zote hawanaga mihemuko ,hasira au hisia , watu waliokulia kwenye umasikini wanakuwa na hasira hasira hata akija kupata hela zile tabia za kimasikini huwa hazitokagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…