Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raum sh ngapMimi nadili na kuuza magari , yes carina ni gari ngumu kweli, na mafuta yatumia vizuri, but kama ni kijana siwezi kukushauri ununue hio gari kwa sasa asee, its very old fashion na haikuuza sana thus why toyota alistop kuizalisha.
karibu autocom kwa magari mazuri na bei rahisi kabisa.
kuna options nzuri tuu, allion, premio, raum, spacio, allex, runx etc
AUTOCOM JAPAN INC
Office Location: Quality Center/Nyerere/Pugu Rd.
Dar Es Salaam-Tanzania.
[emoji337]℡: +255 767 328 063
✆Whatsapp: +255 674 518 707
[emoji394] msuya@autocj.co.jp
Skype Id: Msuya autocom
http://autocj.co.jp/used_cars
Raum sh ngap
Fact mkuu tatizo watu ushamba hauwaishi wanafikiri kumiliki gari y milioni 30 ndo usasa kumbe kila kitu kinatakiwa kifanywe kwa kuangalia mambo yote uchumi wa mtu nk unanunua BMW ukitaka upewe sifa halafu ukitak kwenda k/koo unapanda daladala ndo nini sasaNdugu kuna wajuaji wameshavamia uzi wako na kuanza kukupotosha...nenda kanunue hiyo carina..gari nzuri sana hiyo achana na hao madalali ambao wanajua majina tu ya magari lkn hawajawahi kuyamiliki..eti imepitwa na wakati!!..bro jipime kama unataka kwenda na fasheni ya magari na una uwezo huo sawa lkn kama hali yako ni ya kawaida kachukue usafiri huo hutojuta na hakuna atakayekucheka...nina carina na sijawahi kutamani gari nyingine!!
kuna t.i s.ikuna yenye 1.5L na 2.0L engine. kama mizunguko ya mjini mingi chukua hii ndogo ila kama safari ndefu ndio nyingi basi chukua engine kubwa.