Napendwa kuelimishwa juu ya hili gari la CARINA TI

Mimi naomba ushauri juu ya Carola 111 Exsaloon naka penda sana hako kadude mwenye uzoefu nako tafadhari!
 
Raum sh ngap
 
Fact mkuu tatizo watu ushamba hauwaishi wanafikiri kumiliki gari y milioni 30 ndo usasa kumbe kila kitu kinatakiwa kifanywe kwa kuangalia mambo yote uchumi wa mtu nk unanunua BMW ukitaka upewe sifa halafu ukitak kwenda k/koo unapanda daladala ndo nini sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…