citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Umechelewa kwani wameshajiunga na SUKNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Kama wewe unavyomlamba Meko pale ChamwinoUnapinga wewe kama nani?
Wewe endelea kumlamba Mbowe hapo Ufipa
Unaweza kuta Zitto kazidiwa nguvu na wakina Maalim.
Amandla...
Just imagine Zitto ndio angekuwa mwenyekiti wa chademaUnajisi mtupu! Zto alitaka "kumpindua" Mbowe kwa kutaka madaraka-uenyekiti, hivyo kwa hili waliloliamua, sishangai katu!
HalAfu FFU wanakuja kuwapiga virunguwalichofanya ACT wananikumbusha enzi za shule, mnaazimia kwa pamoja kugoma bt badae wenzenu wanajitoa mnabaki kuzagaa tu, hapa naona ngoma nzito imebaki kwa chadema.
Pale mnafiki anapojifanya yeye ni mtu mwema!Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Kwani Pascal Njaa anasemaje? Naona atakuwa kafurahi mpaka jino la 32 linaonekana .Focus ya Maalim siku zote ni Zanzibar. Mambo ya Bara huwa ni by the way kabisa kwao. Ni kweli kuwa Zitto kwa vyovyote atachafuka katika suala lote hili. Itabidi afanye kazi ya ziada kuwapa imani wapinzani wenzake makini bara. Hasa baada ya chama chake sasa kuwa chama kikuu cha upinzani Bungeni kama wale 19 wataonekana kuwa wamekosa sifa za kuwa wabunge.
Amandla...
Sasa je watumie njia gani mbadala ?Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile....
Wewe unawashwa na nini kwenye hili., wanasema Wazanzibari majority wamebariki GNU wew na utanganyika wako ata uandike kurasa ngap itasaidia nini, siasa za Zanzibar ni tofauti sana na huko kwenNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Sasa mbona wakiuawa wanatangaza mpaka huku Tanganyika?Wewe unawashwa na nini kwenye hili., wanasema Wazanzibari majority wamebariki GNU wew na utanganyika wako ata uandike kurasa ngap itasaidia nini, siasa za Zanzibar ni tofauti sana na huko kwen
Mimi nadhani kwenye hili itakuwa hamumtendei haki. Huyu bwana amefanya juhudi kubwa ili Watanzania wamkubali tena kama mpinzani makini. Kwa sababu hiyo sidhani kama atachangamkia msimamo wenye tija zaidi Zanzibar kuliko Bara. Mpaka sasa sioni Zitto kama Zitto anafaidika vipi kutokana na haya makubaliano zaidi ya kuzidi kukosa credibility.Rekodi yake ya unafiki inajulikana huyu.
Mimi nadhani kwenye hili itakuwa hamumtendei haki. Huyu bwana amefanya juhudi kubwa ili Watanzania wamkubali tena kama mpinzani makini. Kwa sababu hiyo sidhani kama atachangamkia msimamo wenye tija zaidi Zanzibar kuliko Bara. Mpaka sasa sioni Zitto kama Zitto anafaidika vipi kutokana na haya makubaliano zaidi ya kuzidi kukosa credibility.
Amandla...
Maana yk nn sasa.,Sasa mbona wakiuawa wanatangaza mpaka huku Tanganyika ?
Hata ukipinga haitakusaidia mama, pamoja na maumivu makali amabyo wanachama wamepitia wakati wa uchaguzi ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha, kupigwa, kuwekwa ndani, kuumizwa na kujeruhiwa kwa kila namna, nimebaki mdomo wazi kupna Act wanaunga mkono udhalimu huo ikiwa bado watu wapo kwenye misiba na maumivu, wengine wapi hospitali na wamekua vilemaNaomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile...
Pamoja na jitihada za wakina Nondo hapa wakina Zitto wamekabidhi chama kwa CUF ya zamani.Nakubaliana na yote uliyoyaandika. Siku chache kule Twitter Zitto kule Twitter alitoa kauli kwamba hawawezi kushirikiana na wauaji. Nimeitafuta hiyo clip kule Twitter siioni. Wamekusanya ushahidi mbali mbali kupeleka katika taasisi mbali mbali za Kimataifa ikiwemo ICC Na UNHCR halafu kuwashtaki maccm na udhalimu wao wa kutisha halafu hata vyombo husika havitajoa kauli yoyote ile unageuka nyuma na kushirikiana na huyo uliyemshtaki!!! Ni akili kweli hiyo? Wana nia hawa ya kuleta mabadiliko ya kweli au ni waganga njaa? UNAFIKI ni kitu kibaya sana.
Pamoja na jitihada za wakina Nondo hapa wakina Zitto wamekabidhi chama kwa CUF ya zamani. Nisichokielewa ni nini ACT-WAZALENDO Zanzibar watakachopata kutokana SUK....
Unapinga kama nani wewe? Nyinyi ndio munatumiliwa na CCM kuleta mawazo mbadala hapa jf kuwachanganya watu ili munufaike hizo buku 7., issue ya maalim seif anasema wao wamepata ridhaa kutoka kwa wananchi wao sasa ulitaka nini tena na wananchi ndio mtaji kwa wanasiasa? Chama kinaangalia option nyengine mbadala 2025 vipi wataikabili ccm labda na wao wakiwa madarakani. mara hii ndo mushaona walifanya watakavyo hakuna kura hata moja iliyotoka kituoni matokeo yote yamepikwa.Naomba kwanza niweke wazi kabisa kwamba mimi si mwanachama wa chama cha ACT WAZALENDO na pia si mfuasi wake na wala siingilii msimamo wa viongozi wa chama hicho kama wao wenyewe walivyoamua , bali ifahamike kwamba mimi kama Mtanzania wa kuzaliwa ninayo haki ya kujadili makandokando yoyote yanayojitokeza ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bila kuwekewa mipaka na yeyote kwa sababu zozote zile.
Uchaguzi wa Zanzibar kama ulivyokuwa uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano ulighubikwa na uchafu wa kila aina , watu wamedhulumiwa ushindi , wametekwa , wameteswa na kuuawa, viongozi kadhaa wa ACT WAZALENDO akiwemo Maalim Seif, Ismail Jussa na Mazrui wamekamatwa na kuteswa vibaya sana, huku viongozi wengine kama Khamis Bakari wakifariki baada ya kujeruhiwa kwa risasi , nyumba kadhaa kisiwani Pemba zimeteketea kwa kupigwa mabomu huku vikongwe wakiumizwa bila hatia yoyote.
Walioyafanya haya wapo na wanafahamika na ndio hao hao wanaotaka ushirikiano kwenye serikali na ACT inakubali ? sababu ya kukubali ushirika huu ni zipi hasa? maana ukikubali ujinga huu ni kwamba umeyakubali mauaji ya wazanzibar na mateso yao kwamba yalikuwa halali , nani atakuamini tena?
Kwa vile mimi ni Mcha Mungu , Mpenda haki na mpinga uonevu , natangaza hadharani kupinga ACT kuingia kwenye SUK ili kujiepusha na dhambi ya kujitakia ya kushabikia mateso na mauaji ya kisiasa ya raia wasio na hatia yoyote , Nawatakia kila la heri na fanaka watakaoshiriki kwenye Uharamia huo
Mungu ibariki Zanzibar.
Nakala: Juma Duni Haji