jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kimejiri kipi huko zenji.?Umeyasikia yanayojiri huko Zanzibar ?
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimejiri kipi huko zenji.?Umeyasikia yanayojiri huko Zanzibar ?
ACT wanapinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi , ambaye ametoka kwenye kundi lilelile la kinyama la akina MaheraKimejiri kipi huko zenji.?
#MaendeleoHayanaChama
Muulize swali hili Juma Duni HajiUnapinga wewe kama nani?
Wewe endelea kumlamba Mbowe hapo Ufipa
Hiyo Kamati kuu leo imeitisha kikao cha dharula , sijui kama taarifa unayoKamati kuu ya ACT imeamua, wewe unapinga kama nani?! Pambana na yanayoendelea kwenye chama chako.
Hata wewe? Unatuaibisha wanyakyusa.Hiyo Kamati kuu leo imeitisha kikao cha dharula , sijui kama taarifa unayo
Sasa hapa umeandika kuhusu nini ?Hata wewe? Unatuaibisha wanyakyusa.
Kuhusu mnyakyusa unayeliaibisha kabila letu.Sasa hapa umeandika kuhusu nini ?
Sasa kama umeamua kuharibu hoja basi hayaKuhusu mnyakyusa unayeliaibisha kabila letu.
Mkuu uliona mbali sanaMungu ibariki JF
Ni kweli , kwa sababu naijua ccm vizuri sanaMkuu uliona mbali sana