Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sasa daladala 15 zitasaidia nini kwa lile nyomi la Kimara-Kivukoni au Kimara-Gerezani?Mkuu inaonekana hujaelewa!! Sio kwamba hizo daladala zitatumia njia ya BRT, bali hiyo route haikuwepo kwa daladala bali ilikuwa ikifanywa na brt, tu, ila zitaruhusiwa sasa hizo daladala kwenda route hiyo.
Kuna jamaa waliwahi kusema Kuwa hizo Engine za hayo mabasi hazina vipuri na ni ngumu kutengenezeka. Leo NDIO yamejidhihirishal, mtaalam Bujibuji Simba Nyamaume weka Neno hapaNimesema mara nyingi kwamba njia pekee ya kuboresha hii huduma ni kutoa leseni kwa walau kampuni 2 au tatu zenye uwezo na capital ya ku operate kwenye hizo barabara. Kumbuka ni pesa ya walipa kodi ndiyo imejenga hizo barabara kupitia mikopo. Hao UDART waneshafeli big time!! Juzi hapa wamekiri mabus 70 yamekufa, hawana uwezo wa kuyafufua kuna kitu hapo? Dawa ni kuwa na washindani wenye uwezo ili wakamate hizo ruti zote na hao UDART watajifia kifo cha mende au wanunuliwe, hawana uwezo kabisa. Sasa tukirudi kwenye short term solution ili kuondoa mateso kwa abiria ilitakiwa wakati mchakato wa kutafuta kampuni zingine ukiendelea hawa LATRA watoe kibali kwa watu wenye daladala kubwa au mabus makubwa walau 100, yenye milango 2 (kuingia na kutokea) waingie kupiga kazi kwenye hizo barabara za mwendo kasi ili kuondoa kero kwa wananchi. Hivyo vidala dalali vidogo 15 ni upuuzi mtupu...
Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.
Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?
Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.
Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA
View attachment 2786786
Wanatest zali mtapiga kelele kiasi Gani, wakiona kimyaaa basi NDIO imetoka hio.Sasa daladala 15 zitasaidia nini kwa lile nyomi la Kimara-Kivukoni au Kimara-Gerezani?
Mgonjwa yupo ICUKuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.
Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?
Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.
Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA
View attachment 2786786
Hizo daladala 15 zitakuwa kero tu hakuna watakachosaidia alafu bado wanakomaa kujenga miundombinu yake wakati uendeshaji wake ni changamoto.Huenda wameshindwana kwenye commission
Hawawezi kufanya lolote hawaInawezekana je hii!? Ina maana wizara inashindwa kumudu kununua(kuongeza) idadi hiyo ya mabasi ya mwendokasi? Na jee huu mradi ina maana unajiendesha kwa faida au hasara
Sure mkuu 🤝Nimesema mara nyingi kwamba njia pekee ya kuboresha hii huduma ni kutoa leseni kwa walau kampuni 2 au tatu zenye uwezo na capital ya ku operate kwenye hizo barabara. Kumbuka ni pesa ya walipa kodi ndiyo imejenga hizo barabara kupitia mikopo. Hao UDART waneshafeli big time!! Juzi hapa wamekiri mabus 70 yamekufa, hawana uwezo wa kuyafufua kuna kitu hapo? Dawa ni kuwa na washindani wenye uwezo ili wakamate hizo ruti zote na hao UDART watajifia kifo cha mende au wanunuliwe, hawana uwezo kabisa. Sasa tukirudi kwenye short term solution ili kuondoa mateso kwa abiria ilitakiwa wakati mchakato wa kutafuta kampuni zingine ukiendelea hawa LATRA watoe kibali kwa watu wenye daladala kubwa au mabus makubwa walau 100, yenye milango 2 (kuingia na kutokea) waingie kupiga kazi kwenye hizo barabara za mwendo kasi ili kuondoa kero kwa wananchi. Hivyo vidala dalali vidogo 15 ni upuuzi mtupu...
Hahahahaha 🤣Kwenye kula mijihela ndiyo wanachoweza hawa
Kusimamia na kuendesha miradi hawawezi
Ova
Ule mradi wao wanaungangania kuendesha wakati wao kuendeshaHahahahaha [emoji1787]
Ni waziri wako wa uchukuzi lakini 😆
Kwahiyo wewe unaamini kwamba tuna Bilioni 75 za kulipa kesi ila hatuna pesa ya kununua / Kukarabati mabasi ya mwendokasi?!Sasa mabasi ya BRT yamezidiwa na abiria, cha kufanya ni kuruhusu daladala tu kwenye route hizo hakuna jinsi, kwani asubuhi/jioni watu wanapata shida sana.
Hakuna engine isiyo na vipuri, tatizo ni kuviagiza labdaKuna jamaa waliwahi kusema Kuwa hizo Engine za hayo mabasi hazina vipuri na ni ngumu kutengenezeka. Leo NDIO yamejidhihirishal, mtaalam Bujibuji Simba Nyamaume weka Neno hapa
Viraka.?Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.
Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?
Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.
Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA
View attachment 2786786
Ni emergency 🦺 Huwa haifuatagi processViraka.?
Kweli bongo ni ya michongo Hizo daladala tenda yake imetangazwa wapi!?
Na Katiba ikiwa ya zamani, mnametegemea MTU badala ya KatibaKiongozi wa juu akiwa mzembe tarajia mambo km haya
Umeiweka sawa, ila tatizo ni kuwa wao serikali hawakuiweka sawaMkuu inaonekana hujaelewa!! Sio kwamba hizo daladala zitatumia njia ya BRT, bali hiyo route haikuwepo kwa daladala bali ilikuwa ikifanywa na brt, tu, ila zitaruhusiwa sasa hizo daladala kwenda route hiyo.