Napinga Daladala kuingizwa kwenye BRT

Napinga Daladala kuingizwa kwenye BRT

Nimesema mara nyingi kwamba njia pekee ya kuboresha hii huduma ni kutoa leseni kwa walau kampuni 2 au tatu zenye uwezo na capital ya ku operate kwenye hizo barabara. Kumbuka ni pesa ya walipa kodi ndiyo imejenga hizo barabara kupitia mikopo. Hao UDART waneshafeli big time!! Juzi hapa wamekiri mabus 70 yamekufa, hawana uwezo wa kuyafufua kuna kitu hapo? Dawa ni kuwa na washindani wenye uwezo ili wakamate hizo ruti zote na hao UDART watajifia kifo cha mende au wanunuliwe, hawana uwezo kabisa. Sasa tukirudi kwenye short term solution ili kuondoa mateso kwa abiria ilitakiwa wakati mchakato wa kutafuta kampuni zingine ukiendelea hawa LATRA watoe kibali kwa watu wenye daladala kubwa au mabus makubwa walau 100, yenye milango 2 (kuingia na kutokea) waingie kupiga kazi kwenye hizo barabara za mwendo kasi ili kuondoa kero kwa wananchi. Hivyo vidala dalali vidogo 15 ni upuuzi mtupu...
Kuna jamaa waliwahi kusema Kuwa hizo Engine za hayo mabasi hazina vipuri na ni ngumu kutengenezeka. Leo NDIO yamejidhihirishal, mtaalam Bujibuji Simba Nyamaume weka Neno hapa
 
Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.

Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?

Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.

Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA

View attachment 2786786
 

Attachments

  • E09181C1-3B6C-45A5-8689-386351A90280.jpeg
    E09181C1-3B6C-45A5-8689-386351A90280.jpeg
    73.2 KB · Views: 1
Sasa daladala 15 zitasaidia nini kwa lile nyomi la Kimara-Kivukoni au Kimara-Gerezani?
Wanatest zali mtapiga kelele kiasi Gani, wakiona kimyaaa basi NDIO imetoka hio.

Mfumo wa Miundo mbinu hausapoti daladala labda zigeuzwe MILANGO hala zifungwe Spring na tairi kubwa hahaha ili ziweze kuendana na vile vituo
 
Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.

Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?

Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.

Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA

View attachment 2786786
Mgonjwa yupo ICU
20231020_043211.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye kula mijihela ndiyo wanachoweza hawa
Kusimamia na kuendesha miradi hawawezi

Ova
 
Nimesema mara nyingi kwamba njia pekee ya kuboresha hii huduma ni kutoa leseni kwa walau kampuni 2 au tatu zenye uwezo na capital ya ku operate kwenye hizo barabara. Kumbuka ni pesa ya walipa kodi ndiyo imejenga hizo barabara kupitia mikopo. Hao UDART waneshafeli big time!! Juzi hapa wamekiri mabus 70 yamekufa, hawana uwezo wa kuyafufua kuna kitu hapo? Dawa ni kuwa na washindani wenye uwezo ili wakamate hizo ruti zote na hao UDART watajifia kifo cha mende au wanunuliwe, hawana uwezo kabisa. Sasa tukirudi kwenye short term solution ili kuondoa mateso kwa abiria ilitakiwa wakati mchakato wa kutafuta kampuni zingine ukiendelea hawa LATRA watoe kibali kwa watu wenye daladala kubwa au mabus makubwa walau 100, yenye milango 2 (kuingia na kutokea) waingie kupiga kazi kwenye hizo barabara za mwendo kasi ili kuondoa kero kwa wananchi. Hivyo vidala dalali vidogo 15 ni upuuzi mtupu...
Sure mkuu 🤝
 
Hahahahaha [emoji1787]
Ule mradi wao wanaungangania kuendesha wakati wao kuendesha
Hawawezi na hawatokuja kuweza kuendesha...wampe tu mwekezaji/mtu binafsi tu
wao wanachoweza ni kuchota mijihela na kula basi

Ova
 
Ni waziri wako wa uchukuzi lakini 😆
Sasa mabasi ya BRT yamezidiwa na abiria, cha kufanya ni kuruhusu daladala tu kwenye route hizo hakuna jinsi, kwani asubuhi/jioni watu wanapata shida sana.
Kwahiyo wewe unaamini kwamba tuna Bilioni 75 za kulipa kesi ila hatuna pesa ya kununua / Kukarabati mabasi ya mwendokasi?!
 
Hiyo mwendo kasi ni sikio la kufa. Gari inaweza toka Kimara mpaka Jangwani ipo tupu inarudi yard. Kwa akili za kawaida kibiashara inategemewa ibebe walau abiria wanaoshukia njiani mpaka Jangwani lakini inawapita abiria vituo vyote mpaka inafika Jangwani. Watu wameshatoa sana maoni ya maana hapa JF na mpaka wao wenyewe walikuja wakafungua uzi wao hapa lakini hakuna hata ushauri moja waliotekeleza kwa nini kampuni isife?

Serikali iruhusu wafanya biashara wenye uwezo na uzoefu kwenye sekta ya usafiri kama Bakheresa, Abood, Shabiby na wengineo wapewe baadhi ya ruti kwa mfano Bakharesa unampa ruti ya Mbezi - Kariakoo na Abood unampa ruti ya Mbezi - Feri tu hakuna kusimama mahali. Hapa kati anabaki mwendokasi na mabasi yake mabovu ndio akili za kibiashara zitawakaa.

Serikali kama ina nia kweli ya kuondoa tatizo la usafiri kwa watu wa Dar iruhusu usafiri walau coaster chache zenye AC level seat ila waruhusiwe kuongeza nauli kidogo kwa mfano Kimara - Posta nauli iwe 1,500. Mwenye uwezo wa kupanda dala dala apande, mwenye uwezo wa kupanda coaster apande na hata mwenye uwezo wa kupanda mwendokasi apande. Ikumbukwe kuwa sasa hivi coaster nyingi zile zilizokuwa zinasafiri kwenda mikoani usiku maarufu kama hakuna kulala hazina kazi baada ya mabasi makubwa kuruhusiwa kusafiri usiku.

Ni mtizamo tu.
 
Kuna taarifa kuwa daladala 15 zitaongezwa kwenye mradi wa mabasi ya mwendokasi! Hapa iwe ni Kwa dharura au Kwa kawaida Bado hii ni poor planning ya kiwango kisichoweza kuvumilia.

Mnashindwaje kununua mabasi mapya? Kwani huu mradi imekuja au umejengwa ghafla? Yaani hakukua na muendelezo?

Tuliambiwa Daladala ziondoke Morogoro Road, tukaacha kujenga Hadi vituo vya daladala, Sasa hivi TUNARUDISHA daladala Tena kwenye barabara za mwendokasi ambazo MILANGO yake ni tofauti Kabisa.

Tuliwahi kusema kuwa hii miradi hatuwezi kwakua Kila kitu tunakifanya kuwa SIASA

View attachment 2786786
Viraka.?
Kweli bongo ni ya michongo Hizo daladala tenda yake imetangazwa wapi!?
 
Back
Top Bottom